Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chris Brown aukwaa msala mwingine tena

Chris-Brown-PNG

Chris Brown ni mtuhumiwa wa kumpiga na kumjeruhi mtu pamoja na wizi uliotokea Jumamosi iliyopita kwenye kiota cha Palms Casino Resort, jijini Las Vegas.

Chris-Brown-PNG

Polisi wanadaiwa kuitwa hapo asubuhi na walimkuta mwanamke aliyekuwa na majereha mwilini mwake kufuatia kupigwa.

Kwa mujibu wa The Hollywood Reporter, mwanamke huyo anadai kupigwa na Chris Brown baada ya kuchukua simu yake kupiga naye picha. Anadai kuwa muimbaji huyo alichukua simu yake.

Mwakilishi wa Brown alidai kuwa tuhuma hizo si za...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Bongo5

Jela yamuita tena Chris Brown

Chris Brown ameibua msala mpya ambao unaweza kumletea hatari kubwa ya kumpeleka jela.

Muimbaji huyo Jumatatu hii alihudhuria katika klabu ya usiku ya Aja Channelside iliyopo mjini Florida lakini alijikuta akiibua jambo jipya baada ya kumpiga ngumi mpiga picha mmoja aliyefahamika kama Bennie Vines aliyekuwa akipiga picha ukumbini hapo.

Imedaiwa kuwa wakati Chris alipokuwa katika klabu hiyo wainzi wake waliwakataza wapiga picha wote kumpiga picha msanii huyo huku uongozi wa klabu hiyo ya Aja...

 

9 years ago

MillardAyo

Chris Brown kaja na mzigo mwingine, dakika zako tatu kuupitia hapa.. -‘Back to Sleep’ (+Video)

Zikiwa zimebaki siku chache kufikia uzinduzi wa album yake mpya, Royalty staa wa muziki wa R&B, Chris Brown amerudi kwa mara nyingine wiki hii na ujio wa mzigo wa latest single yake ‘Back to sleep’. Official countdown kuelekea uzinduzi wa album ya saba ya Chris imeanza rasmi huku tukihesabu siku 4 kufikia tarehe 18 December 2015, […]

The post Chris Brown kaja na mzigo mwingine, dakika zako tatu kuupitia hapa.. -‘Back to Sleep’ (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Memphis Depay aonekana tena na Ex wa Chris Brown, Karrueche Tran

Mchezaji wa Manchester United, Memphis Depay ameonekana kwa mara nyingine akila bata na aliyekuwa mpenzi wa staa wa R&B Chris Brown, Karrueche Tran jijini Manchester. Tetesi za wawili hao kuwa pamoja zilianza baada ya kuanza kuonekana pamoja miezi michache iliyopita nchini Marekani. Wawili hao walionekana tena usiku wa Jumapili wakiwa pamoja wakitoka kwenye club moja […]

 

11 years ago

Bongo5

Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!

Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna. Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris Brown akiwa kitandani na Rihanna na kumtag Breezy ambaye naye ali ‘like’, kwa mujibu wa TMZ hiyo ni moja ya sababu ya Karrueche ku’switch […]

 

10 years ago

Bongo5

Chris Brown aachana tena na Karrueche Tran, atangaza jukwaani kuwa yupo single (Video)

Kwa mara nyingine Chris Brown na mpenzi wake Karrueche Tran wameachana, lakini safari hii Chris mwenyewe ameamua kutoa taarifa hiyo akiwa jukwaani mbele ya mashabiki kwa kusema kuwa yupo single. Breezy ametoa habari hiyo akiwa jukwaani kwenye show ya Cali Christmas ya Power 106 iliyofanyika Ijumaa Dec 5. “How many single ladies we got in […]

 

10 years ago

GPL

TID JELA YAMUITA BAADA YA KUHUSISHWA NA MSALA MWINGINE

ISSA MNALLY/Amani11
HAJAKOMA? Staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Chumvini, Khaleed Mohamed ‘TID’ amehusishwa na msala mwingine baada ya kudaiwa ku kumjeruhi James Richard, mkazi wa Jiji la Dar. Staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Chumvini, Khaleed Mohamed ‘TID’. Endapo itathibitika kama ni kweli ametenda kosa hilo, TID atakuwa yupo katika hatari ya kuswekwa gerezani kwa mara ya pili...

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Chris Brown sasa ni Royalty Brown rasmi

Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza vita vyao kuhusiana na haki ya kila mmoja kukaa na mtoto wao pamoja na jina lake rasmi kwenye cheti cha kuzaliwa. Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris na Nia wamekubaliana rasmi kumlea pamoja mtoto huyo. Chris atakaa naye kwa siku 12 katika mwezi na hakutakuwa na […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Azidi Kung’ara, Aukwaa Ubalozi Tena

Mrembo wa Tanzania, muigizaji na mjasiriamali Wema Sepetu, Amesign makubaliano ya kuwa Balozi wa Hospital ya Kimataifa ya macho Iliyopo Ali hassan mwinyi Road katika jengo la Tropical House.....

Mkataba huu ni wa mwaka mmoja.. Wema amehaidi kuwa balozi wa hospitali hiyo iliyokuja na mitambo mpya ambayo itawezesha vijana wenye umri chini ya miaka 35 wanaotumia miwani kuacha kabisa utumiaji wa miwani kwakuwa wanauwezo wa kuondoa swala la uvaaji miwani kwa vijana.

By Martin Kadinda, Meneja wa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown — Zero

Msanii Chris Brown ameachia wimbo mpya mwingine unaitwa “Zero” utakaokuepo kwenye Album yake mpya ambayo inategemewa kutoka hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani