Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sababu 6 za wanaume kuwahi kufika kileleni -4

couplesKama tulivyoona, wiki iliyopita tuliishia katika kuliangalia kwa undani tatizo hili la mwanaume kuwahi kufika kileleni kuwa ni kuhusu kuwa na mbegu chache za kiume.

unaposema mbegu ni chache kuliko kiwango ni kwamba unatoa kiwango cha mbegu za kiume chini ya milioni kumi na tano, kila tendo moja.

Kiwango hicho kikiwa chini ya hapo, basi uwezekano wa kumpa mwanamke mimba haupo na badala yake unafanya tu tendo la ndoa lakini uwezo wa kusababisha ujauzito haupo. Sasa endelea na mada yetu ili...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2

Wiki iliyoipita tuliishia katika  kipengele cha tatu cha tatizo la kisaikolojia.
Tuendelee… Ndoa nyingi zimekua zikivunjika kwa sababu mbali mbali lakini sababu kubwa na imekua ikitokea kwa watu wengi sana ni sababu ya kutokushiriki vizuri tendo la ndoa na mara nyingi inapotokea kwa wanaume. Kuwahi kufika kileleni limekua ni tatizo kubwa sana ambalo linawasumbua watu wengi sana na husababisha ndoa nyingi sana...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!

JAMBO hili la kuwahi kufika kileleni limeshakuwa ni tatizo kubwa sana ndani ya jamii na linakuwa na madhara makubwa sana kwenye familia zetu, mara nyingi husababisha kuvunjika kwa ndoa. Kama tulivyozungumza katika makala iliyopita kwenye upande wa dalili na visababishi basi ni vema kabisa ukiwa na dalili zifuatazo ukawahi mapema matibabu ili kujenga familia iliyo bora kabisa:
Tatizo lenyewe kuwahi kufika kileleni ni dalili ya...

 

10 years ago

Vijimambo

AENDA JELA KWA KUWAHI KUFIKA KAZINI MAPEMA

Kevin McGill anatarajiwa kwende jela wiki 14.
Mwendesha lori la kuzoa taka kwenye majumba ya watu mji wa Sandy Spring jimbo la Georgia nchini Marekani anatakiwa kwenda jela wikiendi 14 kwa kisa ni kuwahi kuchukua taka mida ya saa 11 asubuhi badala ya saa 1 asubuhi.na kuwapigia watu kelele wakiwa wamelala.
Kervin McGill yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi baada ya kusomewa mashitaka kwamba anapochukua taka saa 11 asubuhi anawapigia kelele waliolala na inakua usumbufu kwa wengine na majirani hao...

 

5 years ago

BBCSwahili

Sababu zinazofanya wanawake kujifanya wamefika kileleni

Kwanini wanawake wako katika hatari ya kupoteza hamu ya kusiriki tendo la ndoa?

 

11 years ago

Bongo5

Bob Junior atoa sababu ya nyimbo zake za sasa kushindwa kufika mbali

Msanii wa muziki na producer wa Sharobaro Records, Bob Junior amefunguka na kutoa sababu ya kwanini nyimbo zake nyingi za sasa kutokuwa na uhai mrefu kama za mwanzo. Bob Junior Bob Junior aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Oyoyo’ ameiambia Bongo5 kuwa, muziki wake kwa sasa hivi unaharibiwa na mitandao ya kijamii. “Nyimbo nyingi hazi-play sana […]

 

10 years ago

GPL

ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!-2

NI matumaini yangu wapenzi wasomaji wa safu hii mko poa. Leo tunamalizia vipengele vilivyosalia wiki iliyopita, ungana nami. 6.Karaha
Hili pia ni tatizo la wanawake ambalo hawapendi kulikubali. Karaha nyumbani dhidi ya mwanaume huweza kumfanya ajisikie kuhitaji faraja nje ya nyumba. Na wanawake wengi wakimuona mwanaume yupo peke yake baa, hujua kuwa atakuwa amekimbia maudhi ya mkewe na anahitaji faraja. 7.Huruma ya wanawake
...

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu za wanaume kuota matiti

>Tatizo la kuota matiti kwa wanaume na watoto wa kiume limekuwa kubwa katika dunia ya leo.Inawezekana wakati unatembea njiani ukaona wanaume au watoto wadogo wa kiume wakiwa na matiti tena makubwa  ambapo watu wengi  huchukulia kama ni kawaida.

 

10 years ago

GPL

ZIJUE SABABU ZA WANAUME KUCHEPUKA!

Mambo vipi msomaji wa safu hii. Bila shaka unaendelea vizuri na harakati zako za kimapenzi na kwa mara nyingine upo tena katika safu hii ili kufuatilia nini kimejiri. Moja ya tatizo kubwa kabisa linalowasumbua wapenzi wengi ni tabia ya kutoaminiana baina yao. Kila mmoja hudhani mwenzake anakwenda kinyume na hili, mara nyingi lawama huenda zaidi kwa wanaume kwani ni wepesi kuchepuka.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani