Sababu zinazofanya wanawake kujifanya wamefika kileleni
Kwanini wanawake wako katika hatari ya kupoteza hamu ya kusiriki tendo la ndoa?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame
Rwanda ni nchi ambayo ina watu zaidi ya milioni kumi ambapo moja kati ya sababu zilizofanya Rwanda wamkubali zaidi na hata kumpa kura nyingi za ndio kwenye mchakato wa kubadili utaratibu wa Rais kugombea Mihula zaidi ya miwili. Rais Kagame aliwahi kugawa Ng’ombe kwa Wananchi mbalimbali ili wajikwamue kwenye umasikini, bonyeza play hapa chini kuzipata sababu […]
The post Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Sababu 6 za wanaume kuwahi kufika kileleni -4
Kama tulivyoona, wiki iliyopita tuliishia katika kuliangalia kwa undani tatizo hili la mwanaume kuwahi kufika kileleni kuwa ni kuhusu kuwa na mbegu chache za kiume.
unaposema mbegu ni chache kuliko kiwango ni kwamba unatoa kiwango cha mbegu za kiume chini ya milioni kumi na tano, kila tendo moja.
Kiwango hicho kikiwa chini ya hapo, basi uwezekano wa kumpa mwanamke mimba haupo na badala yake unafanya tu tendo la ndoa lakini uwezo wa kusababisha ujauzito haupo. Sasa endelea na mada yetu ili...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Angel ataja sababu zinazowakwamisha wanawake kimuziki
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Wanawake 8,500 kufariki dunia kila mwaka kwa sababu ya ujauzito
Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Evidence for Action (E4A) Tanzania,Craig John Felar, akitoa mada yake juu ya kampeni ya ‘Muokoe Mama muokoe mtoto mchanga’ (Mama ye) kwenye semina iliyohudhuriwa na baadhi ya viongozi kutoka vilabu vya waandishi habari mikoa mbalimbali nchini .Semina hiyo ya siku mbili iliyoandaliwa na UTPC,ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Lion hotel jijini Dar.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vilabu vya waandishi wa habari Tanzania ,wakifuatlia...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Serikali kuwazawadia wanafunzi na shule za msingi na sekondari zinazofanya vizuri
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dkt. Shukuru Kawambwa.
Na Mwandishi Wetu
Katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika sekta ya Elimu, Serikali itawazawadia wanafunzi na shule zilizofanya vyema katika mitihani ya Elimu ya msingi na Sekondari.
Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam Jumatatu April 14, 2014 na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dkt. Shukuru Kawambwa alipozungumzia na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Wiki ya Elimu.
Kwa mujibu wa Dkt....
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VHAED0M_p9o/VRWLkIxKWgI/AAAAAAAAq0s/RZ8lQcmz5-A/s72-c/bub.jpg)
Je kwa nini wanawake huwa na furaha zaidi wakati wa kufunga ndoa? Hizi hapa chini ndiyo sababu
![](http://3.bp.blogspot.com/-VHAED0M_p9o/VRWLkIxKWgI/AAAAAAAAq0s/RZ8lQcmz5-A/s640/bub.jpg)
Wakatiwa kufunga ndoa wanawake wengi huonyesha furaha zao kwa namna tofauti. Wako ambao kutokana na furaha ya kuolewa wanashindwa kujizuia na kuanza kulia siyo kwa huzuni bali kwa furaha iliyopitiliza, wengine honyesha furaha zao kwa kucheza mziki kwa furaha na kumbusu mume wake wa maisha kwa mfululizo kama vile anachezea mdoli akiwa haamini kile kinachomtokea nk.Kwa upande wa mume naye huwa na furaha kwa upande wake lakini furaha hiyo haizidi furaha ya mke, hiyo ni kwa sababu mwanaume...
10 years ago
Vijimambo20 Dec
Mtandao wa Wanawake na Katiba wataja sababu za kuvutiwa na Katiba pendekezwa
![Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Dk. Ave Maria Semakafu akizungumza katika mkutano huo na wahariri wa vyombo vya habari.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0204.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Mtandao wa Wanawake na Katiba pamoja na TAMWA wakifuatilia mada mbalimbali zinazowasilishwa.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0198.jpg)
![Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA Valerie Msoka akiwasilisha mada katika mkutano huo wa Mtandao wa Wanawake na Katiba na TAMWA.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0194.jpg)
![Mmoja wa wahariri wa vyombo vya habari akiuliza swali katika kipindi cha majadiliano mara baada ya uwasilishaji mada.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0256.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Aliyedaiwa kujifanya daktari afariki dunia