Aliyedaiwa kujifanya daktari afariki dunia
Aliyekamatwa kwa tuhuma za kujifanya daktari Desemba 8, mwaka jana katika Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu na Upasuaji wa Ubongo (Moi), Dismas Macha amefariki dunia katika Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Daktari afariki na Ebola Liberia
11 years ago
Dewji Blog14 Aug
Afariki baada ya kutibiwa na daktari feki Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu
MKULIMA na mkazi wa kijiji cha Iyumbu tarafa ya Sepuka wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Jubulu Mahende,amefariki dunia muda mfupi baada ya kupewa matibabu na mtu anayedaiwa kuwa ni daktari feki.
Imedaiwa kuwa Jubulu aliyekuwa akisumbuliwa na kifua, kiuno na mgongo alizidishiwa dawa kitendo kilichopelekea hali yake kuwa mbaya zaidi.
Daktari huyo ambaye amekiri hana cheti cha aina yo yote kutoka vyuo vya...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
BBCSwahili31 Aug
Daktari mwengine wa Ebola aaga dunia
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Gurumo afariki dunia
11 years ago
CloudsFM21 Oct
MSANII YP AFARIKI DUNIA
Msanii aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Meneja wa kundi hilo Said Fella amethibitisha kutokea kwa msiba wa msanii huyo, aliyefariki kwa maradhi ya kifua katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Mez B afariki Dunia
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Mwanakatwe afariki dunia
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa Shirikisho la Soka Tanzania – TFF), Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe amefariki dunia jana asubuhi katika Hospitali Kuu ya...