Hongera kwa Wazanzibari kuwahi fursa
Siku moja kabla na baada ya mwaka mpya nilikuwa Unguja. Kuna mazuri na yanayotia moyo nayaona yakifanywa na Watanzania wenzetu kule katika kuboresha utalii wa ndani na kuvutia watalii wa kutoka nje.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Mar
AENDA JELA KWA KUWAHI KUFIKA KAZINI MAPEMA
![](http://media.cmgdigital.com/shared/img/photos/2015/03/03/f8/42/mcgill.jpg)
Mwendesha lori la kuzoa taka kwenye majumba ya watu mji wa Sandy Spring jimbo la Georgia nchini Marekani anatakiwa kwenda jela wikiendi 14 kwa kisa ni kuwahi kuchukua taka mida ya saa 11 asubuhi badala ya saa 1 asubuhi.na kuwapigia watu kelele wakiwa wamelala.
Kervin McGill yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi baada ya kusomewa mashitaka kwamba anapochukua taka saa 11 asubuhi anawapigia kelele waliolala na inakua usumbufu kwa wengine na majirani hao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El8CPJa8OpgcNndBjGTq7PtKaSn5FumfLv2gJc0ahHSZEq2NLg-7K8u5JQT*tRPqAcDvxSRBFtovlq3UwJCYatZC/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3uChV-MrSK4adiZqj0M0oD7oFKLO8fVmPovaM-sthnIq6KeN3oJQWtG3ey6gPVWjv9*5THWFwe*3WbokuW56tHy/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2
10 years ago
GPLHONGERA BAYPORT: JICHO LENU KWA ALBINO LINA MAANA KWA TAIFA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Kinana anawadalali Wazanzibari kwa wabakaji
Na Rashid Abdallah “Ndani ya miaka 14 , trilioni nne nukta 4 dola za Kimarekani zimetumika katika vita dhidi ya ugaidi, lakini mamia na maelfu ya watu wamekufa. Kati ya mwaka 2000 na 2014, vifo vinavyosababishwa […]
The post Kinana anawadalali Wazanzibari kwa wabakaji appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto.
WATU tisa wa familia moja wenye asili ya Ziwani, Pemba wamekufa kwenye ajali ya moto ulioteketeza nyumba yao jijini Dar es Salaam, huku baba wa familia akinusurika kwa kuwa alikuwa amekwenda msikitini kuswali. Nyumba hiyo iliyoteketea […]
The post Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Hongera vyama kwa kampeni za kistaarabu
10 years ago
Mwananchi16 May
Hongera Basata kwa kuonyesha makali
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Hongera Serikali kwa kuanzisha benki ya kilimo
SERIKALI hivi karibuni imetangaza kuanzisha benki maalumu ya maendeleo ya kilimo.
Benki hiyo inajulikana kwa jina la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).
Benki hiyo bado haijaanza kazi ikisubiri kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hata hivyo, imekwisha kuanza mchakato wa kutafuta wafanyakazi watakaotoa huduma.
Kwa mujibu wa serikali, pamoja na mambo mengine madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa benki hii ni kurahisisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo ili...