Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongera Basata kwa kuonyesha makali

Niwapongeze Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kwa kuonyesha wazi kusimama kidete kulinda utamaduni wa Mtanzania na sanaa kwa ujumla.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Jaja aanza kuonyesha makali Pemba

Santos Santana ‘Jaja’

Mchezaji wa Yanga Geilson Santos Santana ‘Jaja’ akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa yanga, Beno Njovu, jana baada ya kusaini kuichezea timu hiyo kwa miaka miwili.

NA HUSSEIN OMARI, PEMBA

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga Mbrazil Geilson Santana ‘Jaja’, jana ameanza kuonyesha makali yake baada ya kuifungia timu yake bao, katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Chipukizi, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Gombani, Chakechake Pemba.

Mchezaji huyo amejiunga na Yanga mwezi...

 

10 years ago

Mtanzania

Aunt Ezekiel: Msibani si kwa kuonyesha urembo

auntez ekiel4NA RHOBI CHACHA

STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amewaponda wasanii wanaokwenda misibani wakiwa wamejipara kupita kiasi.

Msanii huyo aliwaponda wasanii wenzake wenye tabia ya kutumia sehemu za misiba kugeuza uwanja wa kuonyesha mavazi na vito vya thamani katika miili yao.

“Wenye tabia hizo acheni kujipodoa katika msiba, tunakera wenzetu ndiyo maana linaongelewa kila siku tuishi kulingana na utamaduni wetu tusiige,’’ alisema huku akifafanua zaidi.

“Wenzetu wakiwa katika majonzi nasi...

 

10 years ago

GPL

HONGERA BAYPORT: JICHO LENU KWA ALBINO LINA MAANA KWA TAIFA

Meneja Mauzo wa Bayport, Lugano Kasambala (kulia) akitoa mchango na pole kwa Ester Jonas. SIKU chache zimepita kama nilipata kusikia maneno ya busara kutoka kwa Meneja Mauzo wa Bayport Financial Services Kanda ya Ziwa, Lugano Kasambala. Mkuu huyo wa taasisi hiyo inayojihusisha na mikopo hapa nchini alizungumzia kwa kina vita dhidi ya mauaji ya Albino inayoendelea kushika kasi hapa nchini. Kasambala alikoleza kile...

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera vyama kwa kampeni za kistaarabu

Ni takriban siku 15 tagu kampeni zilipoanza rasmi kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kwa bahati nzuri hakuna matatizo makubwa ambayo yametokea hadi sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera kwa Wazanzibari kuwahi fursa

Siku moja kabla na baada ya mwaka mpya nilikuwa Unguja. Kuna mazuri na yanayotia moyo nayaona yakifanywa na Watanzania wenzetu kule katika kuboresha utalii wa ndani na kuvutia watalii wa kutoka nje.

 

9 years ago

Habarileo

CDA yasaka makali kwa Polisi

TIMU ya Soka ya CDA ya Mjini hapa inaingia kambili leo kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa ufunguzi wa mzunguko wa pili wa ligi daraja la kwanza dhidi ya Polisi Dodoma.

 

10 years ago

Vijimambo

HONGERA SHARIFA OTHMAN KWA KUKAMATA NONDO

 Sharifa Othman wa Dar-Es-Salaam akiwa kwenye pozi na nguo yake ya heshima siku ya graduation yake iliyofanyika Raila Odinga Ground. Sharifa Othman aligraduate na kujipatatia nondo za barchelor of pubblic relations and marketing katika Universty ya St Augustine huko Mwanza.Vijimambo timu inatoa pongeza kwa Mama mzazi wa Sharifa kwa kuwezesha watoto wake kutimiza ndoto zao za kupata elimu za juu. Sharifa akismile mbele ya ukodak baada ya kujianda tayari kwa kuenda kupokea nondo zake...

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera Kilimanjaro Stars kwa soka safi

Michuano ya soka ya kuwania Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati ilimalizika Alhamisi iliyopita jijini Nairobi Kenya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hongera wanaushirika KCU kwa kuondoa ‘mchwa’

CHAMA Kikuu cha Ushirika cha KCU (1990) Ltd cha mkoani Kagera kimefanya mabadiliko na kuitimua bodi iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyekiti, John Binunshu kutokana na tuhuma za ufisadi. KCU ni kati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani