HONGERA SHARIFA OTHMAN KWA KUKAMATA NONDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-OofnrSaERSA/VHwA6wdf9OI/AAAAAAAAq0k/d_c02TfAr5M/s72-c/image-5af9bd0caaf235a44facb37ed1e1f98f555c11dd2e546fea075b7737292ffe03-V.jpg)
Sharifa Othman wa Dar-Es-Salaam akiwa kwenye pozi na nguo yake ya heshima siku ya graduation yake iliyofanyika Raila Odinga Ground. Sharifa Othman aligraduate na kujipatatia nondo za barchelor of pubblic relations and marketing katika Universty ya St Augustine huko Mwanza.Vijimambo timu inatoa pongeza kwa Mama mzazi wa Sharifa kwa kuwezesha watoto wake kutimiza ndoto zao za kupata elimu za juu.
Sharifa akismile mbele ya ukodak baada ya kujianda tayari kwa kuenda kupokea nondo zake...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHONGERA SANA MAMA MATRIDA MKAMA KWA KUJINYAKULIA NONDO
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Oct
Kungamano la Mhe. Othman Masoud Othman kuhusu Mambo 7 ni Maangamizi Kwa Zanzibar
vidio
The post Kungamano la Mhe. Othman Masoud Othman kuhusu Mambo 7 ni Maangamizi Kwa Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jPu_1Byei8Y/XllKxpYOFOI/AAAAAAALf-E/vVx2pG5fIUIMO5WlV6oCr-FEcgWAm3o3wCLcBGAsYHQ/s72-c/8986e6d6-5575-4429-a8f2-8e57eecd8b5e.jpg)
KWA NINI NAMLILIA BI SHARIFA HUSSEIN KALALA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jPu_1Byei8Y/XllKxpYOFOI/AAAAAAALf-E/vVx2pG5fIUIMO5WlV6oCr-FEcgWAm3o3wCLcBGAsYHQ/s400/8986e6d6-5575-4429-a8f2-8e57eecd8b5e.jpg)
Dkt. Ramadhani K Dau
Ilikuwa siku ya ijumaa tarehe 21 Februari 2020 kiasi cha saa 4 usiku kwa saa za Malaysia wakati Mhe Balozi AshaRose Shaaban Mtengeti-Migiro aliponipigia simu kutaka kuzungumza na mimi kuhusu mambo mawili.
La kwanza lilikuwa la kiofisi lakini la pili ilikuwa kunipa taarifa kuwa Bi Sharifa Hussein Kalala anaumwa na hali yake ni mbaya sana. Kwa maneno yake Balozi Migiro, “kilichobaki ni Rehma ya Mwenyezi Mungu”.
Kwa hakika nilihuzunika na kushituka sana. Nilihuzunika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR, OTHMAN MASOUD OTHMAN AFUTWA KAZI
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s72-c/zadia.png)
ZADIA YAUNGA MKONO MSIMAMO WA KIZALENDO WA MH. OTHMAN MASSOUD OTHMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s320/zadia.png)
10 years ago
IPPmedia04 Oct
Zanzibar Attorney General (AG),Othman Masoud Othman
IPPmedia
IPPmedia
The just ended Constituent Assembly (C.A) is likely to heighten political temperature in Zanzibar, causing more cracks in the Isle's Government of National Unity (GNU), The Guardian has learnt. Members of the CA from the Isles who talked to The Guardian in ...
Tanzania assembly endorses draft constitutionNewstime Africa
TANZANIA - Othman disavows Constituent AssemblyAfrica Intelligence (subscription)
Ecstasy as Katiba vote...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Anusurika kifo kwa kunywa dawa ya kukamata wezi
MKAZI wa Bunda mkoani Mara, Pendo Kona amepoteza fahamu na kulazwa katika Hospitali ya DDH-Bunda, baada ya kunyweshwa dawa za kienyeji na waganga ili awabaini waliomwibia ng’ombe wake wawili Januari...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Mke amuua mume kwa kumpiga nondo kichwani
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Othman atahesabika kwa ushujaa wake
MENGI yatanong’ongwa, yatasemwa kwa upole au jazba. Yatasikika, yataandikwa, yatasomwa juu ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, Othman Masoud. Wakati wapo waliosherehekea hatua ya Rais wa...