Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZADIA YAUNGA MKONO MSIMAMO WA KIZALENDO WA MH. OTHMAN MASSOUD OTHMAN

TAARIFAAlipokuwa akizungumza kwenye kongamano maalum huko Zanzibar, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mh Othman Massoud Othman alielezea wajibu wa kila Mzanzabari wa kuutetea umoja wa Wazanzibar.Akifafanua kifungu cha 23 cha Katiba ya Zanzibar, Bw. Othman alielezea kuwa, mbali na Katiba hiyo kutoa haki sawa kwa Wazanzibari wote, pia inatoa wajibu kwa wananchi.Miongoni mwa wajibu wa kila Mzanzibari kwa mujibu wa Kifungu hicho, ni wajibu wa kulinda, kuhifadhi na kudumisha Uhuru wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MH. OTHMAN MASSOUD APONGEZWA NA ZADIA

Na Mwandishi wetu Washington DCJumuiya ya Wazanzibar waishio nchini Marekani (ZADIA), imeunga mkono matamshi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Massoud Othman aliyoyatoa hivi karibuni mjini Unguja.Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman Katika taarifa yake fupi kwa umma ambayo Swahilivilla imepata nakala yake, ZADIA ilimnukulu Bwana Othman akisema kuwa Katiba ya Zanzibar inampa kila Mzanzibari wajibu wa kulinda, kuhifadhi na kudumisha Uhuru wa...

 

10 years ago

GPL

MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR, OTHMAN MASOUD OTHMAN AFUTWA KAZI

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman. RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, leo amemfuta kazi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman na nafasi yake kuchukuliwa na Said Hassan Said. Rais Shein amefanya uteuzi huo wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu 55 (1) cha...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kungamano la Mhe. Othman Masoud Othman kuhusu Mambo 7 ni Maangamizi Kwa Zanzibar

vidio

The post Kungamano la Mhe. Othman Masoud Othman kuhusu Mambo 7 ni Maangamizi Kwa Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

IPPmedia

Zanzibar Attorney General (AG),Othman Masoud Othman


IPPmedia
Zanzibar Attorney General (AG),Othman Masoud Othman
IPPmedia
The just ended Constituent Assembly (C.A) is likely to heighten political temperature in Zanzibar, causing more cracks in the Isle's Government of National Unity (GNU), The Guardian has learnt. Members of the CA from the Isles who talked to The Guardian in ...
Tanzania assembly endorses draft constitutionNewstime Africa
TANZANIA - Othman disavows Constituent AssemblyAfrica Intelligence (subscription)
Ecstasy as Katiba vote...

 

10 years ago

Mwananchi

Othman atoa waraka muundo wa Bunge

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amelazimika kuandika waraka kuhusu mapendekezo ya kitaalamu na kuyawasilisha mbele ya Kamati Namba 11 baada ya kuibuka malumbano makali kuhusu aina ya muundo wa Bunge unaotakiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Othman kaondolewa, alichokipinga kitapingwa na wengi

Kila mtu anajua kilichomkuta Othman Masoud Othman ambaye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ).

 

10 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA OTHMAN MICHUZI

Napenda Kuchukua Fursa hii Kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma na Mwenye Kurehemu kwa kunijaalia Uhai na afya njema hadi kufikia siku hii ya leo,ambapo ninayo furaha kubwa sana kwa kuongeza namba moja katika umri wangu, kwani bila yeye hakuna kitu chochote kinachoweza kufanyika.
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili na akina  Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail...

 

9 years ago

IPPmedia

Chief Justice, Mohamed Chande Othman


Chief Justice, Mohamed Chande Othman
IPPmedia
Chief Justice Mohamed Chande Othman has underlined the need for Judiciary staff to ensure courts of law recapture public, saying their image stands tainted by corruption and various other unethical practices. Opening a two-day Judiciary workers ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani