MH. OTHMAN MASSOUD APONGEZWA NA ZADIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YIlQ1Qptf9Q/Vh-BtEjZKfI/AAAAAAAAVCc/D5b5gNE03lQ/s72-c/ss.jpg)
Na Mwandishi wetu Washington DCJumuiya ya Wazanzibar waishio nchini Marekani (ZADIA), imeunga mkono matamshi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Massoud Othman aliyoyatoa hivi karibuni mjini Unguja.Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman Katika taarifa yake fupi kwa umma ambayo Swahilivilla imepata nakala yake, ZADIA ilimnukulu Bwana Othman akisema kuwa Katiba ya Zanzibar inampa kila Mzanzibari wajibu wa kulinda, kuhifadhi na kudumisha Uhuru wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s72-c/zadia.png)
ZADIA YAUNGA MKONO MSIMAMO WA KIZALENDO WA MH. OTHMAN MASSOUD OTHMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s320/zadia.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR, OTHMAN MASOUD OTHMAN AFUTWA KAZI
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Oct
Kungamano la Mhe. Othman Masoud Othman kuhusu Mambo 7 ni Maangamizi Kwa Zanzibar
vidio
The post Kungamano la Mhe. Othman Masoud Othman kuhusu Mambo 7 ni Maangamizi Kwa Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
IPPmedia04 Oct
Zanzibar Attorney General (AG),Othman Masoud Othman
IPPmedia
IPPmedia
The just ended Constituent Assembly (C.A) is likely to heighten political temperature in Zanzibar, causing more cracks in the Isle's Government of National Unity (GNU), The Guardian has learnt. Members of the CA from the Isles who talked to The Guardian in ...
Tanzania assembly endorses draft constitutionNewstime Africa
TANZANIA - Othman disavows Constituent AssemblyAfrica Intelligence (subscription)
Ecstasy as Katiba vote...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.
TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU. Panapo majaaliwa yake Mola, kesho tarehe 25 Oktoba, 2015; Watanzania wataelekea kwenye visanduku vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu ambao wachunguzi wengi wa kisiasa wameuita kuwa ni uchaguzi wa kihistoria. […]
The post TAMKO LA ZADIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboZADIA KUENDELEZA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAZANZIBARI NCHINI MAREKANI
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa ZADIA Ndugu Omar Haji Ally, alipokuwa akitoa maelezo mafupi ya kumkaribisha Rais wa zamani wa Zanzibar Mheshimiwa Alhajj Ali Hassan Mwinyi kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa rasmi na Uongozi mzima wa Zanzibar Diaspora Association (ZADIA) Siku ya...
10 years ago
Michuzi09 Jun
ZADIA YAENDELEA KUSAKA MAENDELEO YA USTAWI WA JAMII ZANZIBAR
![](http://www.zanzibardiaspora.go.tz/images/made/images/uploads/zadia_224_211_c1.gif)
Kwa vile kuwa na watu tu haitoshi kuleta maendeleo ya nchi, ndio maana ZADIA imelipa kipaumbele swala la afya na ustawi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s72-c/zadia.png)
ZADIA YAZUNGUMZIA HALI YA KUFUTWA KWA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s400/zadia.png)
Ama kwa hakika kitendo hicho hakikuwa cha busara na...
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
Taarifa ya ZADIA kuhusu kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-SIQ_BbYAmzM/VXfGH3gBtWI/AAAAAAAAkXY/gp8vIk1mf84/s400/zadia.png)