KWA NINI NAMLILIA BI SHARIFA HUSSEIN KALALA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jPu_1Byei8Y/XllKxpYOFOI/AAAAAAALf-E/vVx2pG5fIUIMO5WlV6oCr-FEcgWAm3o3wCLcBGAsYHQ/s72-c/8986e6d6-5575-4429-a8f2-8e57eecd8b5e.jpg)
Dkt. Ramadhani K Dau
Ilikuwa siku ya ijumaa tarehe 21 Februari 2020 kiasi cha saa 4 usiku kwa saa za Malaysia wakati Mhe Balozi AshaRose Shaaban Mtengeti-Migiro aliponipigia simu kutaka kuzungumza na mimi kuhusu mambo mawili.
La kwanza lilikuwa la kiofisi lakini la pili ilikuwa kunipa taarifa kuwa Bi Sharifa Hussein Kalala anaumwa na hali yake ni mbaya sana. Kwa maneno yake Balozi Migiro, “kilichobaki ni Rehma ya Mwenyezi Mungu”.
Kwa hakika nilihuzunika na kushituka sana. Nilihuzunika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OofnrSaERSA/VHwA6wdf9OI/AAAAAAAAq0k/d_c02TfAr5M/s72-c/image-5af9bd0caaf235a44facb37ed1e1f98f555c11dd2e546fea075b7737292ffe03-V.jpg)
HONGERA SHARIFA OTHMAN KWA KUKAMATA NONDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-OofnrSaERSA/VHwA6wdf9OI/AAAAAAAAq0k/d_c02TfAr5M/s1600/image-5af9bd0caaf235a44facb37ed1e1f98f555c11dd2e546fea075b7737292ffe03-V.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xRcvgQga7J0/VHwA6SIALQI/AAAAAAAAq0Y/6tfuqU4MUow/s1600/image-433d8f98085eaa24e57d8a193c883555567794b2fb348e8b9bad2cbf870e8440-V.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OrM_RixLt1Q/VD8HAnyPd9I/AAAAAAADJzE/o_Uc5XemZTs/s72-c/IMG_25043928297202%2B(2).jpeg)
HARUSI YA SHARIFA NA HAITHAM TORONTO CANADA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OrM_RixLt1Q/VD8HAnyPd9I/AAAAAAADJzE/o_Uc5XemZTs/s1600/IMG_25043928297202%2B(2).jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DaPEOkw0bYg/VD8HBa_hj_I/AAAAAAADJzc/zUk2O_ByPtY/s1600/IMG_25103706342858.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZE5662L6reg/VD8HBngq0eI/AAAAAAADJzk/ABihFM-c5fY/s1600/IMG_25124289625329.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DcwtyHw7FsA/VD8HB16K-HI/AAAAAAADJz0/94VwLv3T6tg/s1600/IMG_25130759473961%2B(2).jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QUE1RJz0smI/VD8HEXxyzrI/AAAAAAADJ00/WzlwmTRunbE/s1600/IMG_25287039106528.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nfb3ZLs18kQ/VD8HCj78LGI/AAAAAAADJ0A/cXm4Teu2_Gw/s1600/IMG_25165904646080.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-a-eEalNdir4/VD8HAsl7dsI/AAAAAAADJzM/lgy0JtyoZbo/s1600/DSC04005-1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LYLMt1n_xMM/VD8G_Rc8lMI/AAAAAAADJy0/gJBXxzbRSjM/s1600/IMG_25012188306970%2B(2).jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHbiM73Sd0/VD8HBD9qmjI/AAAAAAADJzU/v20Nx_TpoMs/s1600/IMG_25097544904870.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YKcfcJykNQo/VD8HCpT_vBI/AAAAAAADJz4/8aH1RBDEIF4/s1600/IMG_25193214094323%2B(2).jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ql5xV9lsRIQ/VD8HDTIAgxI/AAAAAAADJ0Q/u7MN4o0Cp3A/s1600/IMG_25226678419274%2B(2).jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DY9448372AM/VD8HD9H66PI/AAAAAAADJ0Y/Z6iEIdSBQS0/s1600/IMG_25235757856530.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNSd2AkaolI/VD8HEOBkMMI/AAAAAAADJ0w/xptmindsiZk/s1600/IMG_25266434797446.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GJzaAd3-2yw/XvC7R8HQtQI/AAAAAAALu9M/tBl0W13rxgAwyECcazl6wX-P5dLXj9QXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B4.29.29%2BPM.jpeg)
HUSSEIN MAKUNGU 'BHAA' "NIKIPATA URAIS NITAKUZA UCHUMI WA ZANZIBAR NA AJIRA KWA VIJANA
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR
MWAKILISHI wa Jimbo la Mtoni na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano, kupitia nafasi tano za Uwakilishi, Mhe. Hussein Ibrahim Makungu maarufu "Bhaa' amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Bhaa amepongeza Demokrasia ndani ya CCM kwa wenye sifa kujitokeza kuwania nafasi hiyo nyeti na endapo atapitishwa kugombea Urais ameahidi ataleta mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa Vijana huku kudumisha Muungano uliopo...
10 years ago
GPLKWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kalala ajisalimisha Best Records Salasala
MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Komandoo Hamza Kalala anatarajia kurekodi vibao vipya, baada ya kuingia katika studio ya Best Records ya Salasala, jijini Dar es Salaam huku akiahidi...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/EfKVr4g08bc/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 May
Simulizi ya Hamza Kalala ‘Komandoo’-1