HARUSI YA SHARIFA NA HAITHAM TORONTO CANADA
Haitham na Sharifa wakiingia ukumbini kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 jijini Toronto, Canada.Bwana na bibi harusi wakijiandaa kukata keki.Bwana na bibi harusi wakikata keki.Bwana harusi akimlisha keki bibi harusiBwana na bibi harusi katika picha ya pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliohudhuria sherehe ya harusi yao.picha ya pamoja.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRais Kikwete awasili nchini akitokea Toronto Canada
10 years ago
Bongo518 Sep
Diamond Platnumz kutumbuiza Toronto, Canada Jumamosi Ijayo
11 years ago
Dewji Blog28 May
Rais Kikwete awasili Toronto, Canada kuhudhuria mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Toronto Canada tarehe 27 Mei, 2014 usiku kuhudhuria mkutano unaohusu Afya ya Mama na Mtoto kufuatia mualiko kutoka kwa Waziri Mkuu wa Canada Mheshimiwa Stephen Harper.
Mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto , (Maternal, Newborn and Child Health -MNCH) unaanza Leo tarehe 28 – 30 Mei, 2014 ambapo Rais Kikwete pia anatarajiwa kuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu.
Lengo la mkutano huu ni kutoa nafasi kwa wataalamu na viongozi wa dunia kufikia makubaliano kwa...
5 years ago
Business Traveller13 Feb
Coronavirus: Air Canada cancels Toronto-Hong Kong flights, extends China flight cancellations
10 years ago
VijimamboHONGERA SHARIFA OTHMAN KWA KUKAMATA NONDO
5 years ago
MichuziKWA NINI NAMLILIA BI SHARIFA HUSSEIN KALALA
Dkt. Ramadhani K Dau
Ilikuwa siku ya ijumaa tarehe 21 Februari 2020 kiasi cha saa 4 usiku kwa saa za Malaysia wakati Mhe Balozi AshaRose Shaaban Mtengeti-Migiro aliponipigia simu kutaka kuzungumza na mimi kuhusu mambo mawili.
La kwanza lilikuwa la kiofisi lakini la pili ilikuwa kunipa taarifa kuwa Bi Sharifa Hussein Kalala anaumwa na hali yake ni mbaya sana. Kwa maneno yake Balozi Migiro, “kilichobaki ni Rehma ya Mwenyezi Mungu”.
Kwa hakika nilihuzunika na kushituka sana. Nilihuzunika...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)
Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]
The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Bwana harusi afukuzwa kutoka kwa harusi yake.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Bwana harusi aanguka kifafa kabla ya harusi