Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HARUSI YA SHARIFA NA HAITHAM TORONTO CANADA

Haitham na Sharifa wakiingia ukumbini kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 jijini Toronto, Canada.Bwana na bibi harusi wakijiandaa kukata keki.Bwana na bibi harusi wakikata keki.Bwana harusi akimlisha keki bibi harusiBwana na bibi harusi katika picha ya pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliohudhuria sherehe ya harusi yao.picha ya pamoja.kwa picha zaidi bofya soma zaidi


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awasili nchini akitokea Toronto Canada

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea Toronto Canada ambapo yeye na mwenyeji wake waziri Mkuu wa Canada Stephen Harper waliongoza mkutano wa kimataifa uliohusu kuboresha afya ya wanawake na watoto na kupunguza vifo vya wanawake wanapojifungua.(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Bongo5

Diamond Platnumz kutumbuiza Toronto, Canada Jumamosi Ijayo

Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii wa Afrika wenye ratiba ngumu sana kwa sasa, kutokana na mfululizo wa show za nje na ndani ambazo anaendelea kuzifanya. Baada ya weekend iliyopita kutumbuiza kwenye show ya ‘Africa Unplugged’ jijini London akiwa na Davido na Tiwa Savage, mwimbaji huyo wa ‘Mdogo mdogo’ ambaye bado yuko Uingereza Ijumaa (September […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete awasili Toronto, Canada kuhudhuria mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto

Jakaya-Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Toronto Canada tarehe 27 Mei, 2014 usiku  kuhudhuria mkutano unaohusu Afya ya Mama na Mtoto kufuatia mualiko kutoka kwa Waziri Mkuu wa Canada Mheshimiwa Stephen Harper.

Mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto , (Maternal, Newborn and Child Health -MNCH) unaanza Leo tarehe 28 – 30 Mei, 2014 ambapo Rais Kikwete pia anatarajiwa kuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu.

Lengo la mkutano huu ni kutoa nafasi kwa wataalamu na viongozi wa dunia kufikia makubaliano kwa...

 

5 years ago

Business Traveller

Coronavirus: Air Canada cancels Toronto-Hong Kong flights, extends China flight cancellations

Coronavirus: Air Canada cancels Toronto-Hong Kong flights, extends China flight cancellations  Business TravellerAs virus toll rises, airline losses soar with China flight cuts  Aljazeera.comBritish Airways Cancelling One of Two Daily Flights to Hong Kong, Redeploying Airbus A380  Paddle Your Own KanooWion Dispatch: Global airlines suspend flights to China  WIONCoronavirus Disrupting the Global Economy, Including Ecommerce  Practical EcommerceView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Vijimambo

HONGERA SHARIFA OTHMAN KWA KUKAMATA NONDO

 Sharifa Othman wa Dar-Es-Salaam akiwa kwenye pozi na nguo yake ya heshima siku ya graduation yake iliyofanyika Raila Odinga Ground. Sharifa Othman aligraduate na kujipatatia nondo za barchelor of pubblic relations and marketing katika Universty ya St Augustine huko Mwanza.Vijimambo timu inatoa pongeza kwa Mama mzazi wa Sharifa kwa kuwezesha watoto wake kutimiza ndoto zao za kupata elimu za juu. Sharifa akismile mbele ya ukodak baada ya kujianda tayari kwa kuenda kupokea nondo zake...

 

5 years ago

Michuzi

KWA NINI NAMLILIA BI SHARIFA HUSSEIN KALALA


Dkt. Ramadhani K Dau


Ilikuwa siku ya ijumaa tarehe 21 Februari 2020 kiasi cha saa 4 usiku kwa saa za Malaysia wakati Mhe Balozi AshaRose Shaaban Mtengeti-Migiro aliponipigia simu kutaka kuzungumza na mimi kuhusu mambo mawili. 
La kwanza lilikuwa la kiofisi lakini la pili ilikuwa kunipa taarifa kuwa Bi Sharifa Hussein Kalala anaumwa na hali yake ni mbaya sana. Kwa maneno yake Balozi Migiro, “kilichobaki ni Rehma ya Mwenyezi Mungu”.


Kwa hakika nilihuzunika na kushituka sana. Nilihuzunika...

 

9 years ago

MillardAyo

Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)

Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]

The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...

 

5 years ago

BBCSwahili

Bwana harusi afukuzwa kutoka kwa harusi yake.

Bwana harusi alifukuzwa katika harusi yake mwenyewe na umati wa watu waliokasirika baada ya mkewe wa kwanza kufika na kumjulisha mke mpya kuwa mumewe alikua tayari ameoa

 

10 years ago

BBCSwahili

Bwana harusi aanguka kifafa kabla ya harusi

Mume aanguka kifafa sekunde chache kabla ya ndoa yake,bi harusi achukizwa na kitendo cha kufichwa hali hiyo, aamua kuolewa na ndugu wa mumewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani