Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HONGERA SANA MAMA MATRIDA MKAMA KWA KUJINYAKULIA NONDO

 Hongera sana Mrs Matrida Mkama kwa kujinyakulia nondo hatari sana kwa pamoja tunakupongeza hureeeeeyyyy.
 Keki iliyoandaliwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuendana na tukio husika.
 Mrs Matrida mkama akiwa na furaha na kuwashukuru wale wote waliojumuika nae na kufanikisha siku yake maalum.
 Dr Sweetbert Mkama akimpongeza mama mwenye nyumba wake kwani mafanikio yake ni mafanikio yetu sote.
 Edward Taji pamoja na Mariam Mkama waliweza kufika na kujumuika na mama Matrida Mkama.
 Wageni mbalimbali...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZAIDI ZA MAHAFALI YA MRS. MATRIDA MKAMA

Matrida Mkama mara tu baada ya kukamata nondo yake . Dr, Sweetbert Mkama naye hakua nyuma kumpa ushirikiano wa hali na mali mama watoto wake.Dr sweetbert Mkama akiwa na Matrida Mkama pamoja na mwambata wa jeshi wa ubalozi wa Tanzania Col. Adolph Mutta.
Saa matata aliyopewa zawadi Dr Sweetbert Mkama kutoka kwa mama mwenye Nyumba wake kama ishara ya shukrani zake kwa ushirikiano alioupata kutoka kwa baba mwenye nyumba wake.




 
 
 
 

 

10 years ago

Vijimambo

HONGERA SHARIFA OTHMAN KWA KUKAMATA NONDO

 Sharifa Othman wa Dar-Es-Salaam akiwa kwenye pozi na nguo yake ya heshima siku ya graduation yake iliyofanyika Raila Odinga Ground. Sharifa Othman aligraduate na kujipatatia nondo za barchelor of pubblic relations and marketing katika Universty ya St Augustine huko Mwanza.Vijimambo timu inatoa pongeza kwa Mama mzazi wa Sharifa kwa kuwezesha watoto wake kutimiza ndoto zao za kupata elimu za juu. Sharifa akismile mbele ya ukodak baada ya kujianda tayari kwa kuenda kupokea nondo zake...

 

10 years ago

Vijimambo

Hongera Sana Dr. Slaa

 
Katika kila mwanadamu anayejitambua lazima atakuwa na kitu kinaitwa “core principles.” Yani hizi ni kanuni kuu za msingi wa maisha yako ambazo zinakupa ‘identity’ ya wewe ni nani au mtu wa namna gani! Hizi si misingi au miiko uliyo jiwekea tuu kwasababu ya kujifurahisha, hapana! Ni misingi na miiko unayoiyamini na hukotayari kuisimamia bila kutetereka kwa gharama yoyote ile. Haijalishi hata kama watu wote watakuona wewe ni mtu wa ajabu, lakini kwako itakuwa salama rohoni mwako...

 

11 years ago

Michuzi

HONGERA SANA MR. PRESIDENT JAKAYA MRISHO . KIKWETE - GONGA CEO

Hongera sana Mr. President ‘Jakaya M. KIKWETE’ 
“I am Moved”, sababu nikirudi nyuma kidogo katika historia ya nchi ya Tanzania mwanzoni mwa miaka ya 90 wakati sanaa ya muziki wa kizazi kipya ilipoanza kuchipuka ikifuatiwa na vita kubwa dhidi ya kukemea kijana kuwa msanii waHIP HOP nchini na sanaa hii kupewa majina ya kutisha kama muziki wa “kufoka foka, kihuni”na sanaa hii haikukubalika kabisa katika jamii ya kitanzania.Binafsi naweza nikasema kipindi cha awamu ya 4 ya uongozi wa serikali ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Leo Mei 3 ni siku ya kuzaliwa mdau Mh.Shy rose Bhanji, hongera sana

IMG-20140504-WA0009Mh. Shy rose Bhanji  ambaye leo Mei 3, ametimiza miaka kadhaa. Happy Birthday  Shy rose.

Na Andrew Chale, Modewji blog

Leo ni siku muhimu kwa mdau mkubwa wa Mo blog,  Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy Rose Bhanji  ambaye ametimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2015.

Mtandao  huu wa Modewji blog unamtakia kila lakheri katika haarakaati zake mbalimbali za ujenzi wa Taifa na Dunia kwa ujumla. Hongera sana ‘Happy Birthday’  ‘Happy Birthday Shy rose.

11193429_836337136403159_7495161636993222906_nMy birthday wish...

 

11 years ago

Michuzi

MTAJI WA VICOBA NCHINI UNAKUA KWA KASI SANA - MAMA TUNU PINDA

MKE WA WAZIRI MKUU Mama Tunu Pinda wataalamu wamesema miongoni mwa mifumo ya fedha inayo kuwa kwa kasi hapa nchini ni VICOBA.
Alisema hayo alipokuwa akizindua rasmi muungano wa VICOBA wenye vikundi 46 na vikundi 25 vyenye jumla ya wanachama 600 ambao ndio waliopo katika mchakato wa muungano huo, Jana Mchana Jumamosi, Februari 15, 2014 katika Kata ya Kimanga Jijini Dar es Salaam.
Mfumo wa VICOBA umeendelea kushamiri na kuenea katika maeneno mbalimbali nchini ambapo wananchi wengi hasa...

 

10 years ago

GPL

JB: NILILELEWA ‘KI-MAMA’ MAMA SANA!

Msanii nguli kwa sasa katika tasnia ya filamu Bongo, Jacob Steven Mbura ‘JB’. MKONO mmoja ulikuwa shavuni nikiendelea kusoma kitabu kipya cha ujasiriamali kilichoandikwa na mhamasishaji nguli barani Afrika wa watu kujikomboa na umasikini, Eric Shigongo kiitwacho Jinsi ya Kutoka Kwenye Umasikini Hadi Mafanikio kinachopatikana mitaani kwa bei nafuu, nikiinua kichwa mara kwa mara na kuangaza macho huku na kule...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongera Mama Salma Kikwete

WIKI hii Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete  alitunukiwa Tuzo ya Dunia  ya Hamasa ya Uongozi (Global Leadership Inspiration  Award), kwa lengo la kutambua  uongozi madhubuti na hamasa  katika  kutetea  hadhi ...

 

10 years ago

Mwananchi

MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART

>Wakati utawala wa kibaguzi wa Afrika Kusini ulipofikia ukomo na mwaka 1994, uongozi mpya wa Chama cha ANC chini ya  Mzee Nelson Mandela, ulikumbana na changamoto kubwa ya kuwawezesha kiuchumi Waafrika walio wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani