PICHA ZAIDI ZA MAHAFALI YA MRS. MATRIDA MKAMA
Matrida Mkama mara tu baada ya kukamata nondo yake . Dr, Sweetbert Mkama naye hakua nyuma kumpa ushirikiano wa hali na mali mama watoto wake.Dr sweetbert Mkama akiwa na Matrida Mkama pamoja na mwambata wa jeshi wa ubalozi wa Tanzania Col. Adolph Mutta.
Saa matata aliyopewa zawadi Dr Sweetbert Mkama kutoka kwa mama mwenye Nyumba wake kama ishara ya shukrani zake kwa ushirikiano alioupata kutoka kwa baba mwenye nyumba wake.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHONGERA SANA MAMA MATRIDA MKAMA KWA KUJINYAKULIA NONDO
Hongera sana Mrs Matrida Mkama kwa kujinyakulia nondo hatari sana kwa pamoja tunakupongeza hureeeeeyyyy.
Keki iliyoandaliwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuendana na tukio husika.
Mrs Matrida mkama akiwa na furaha na kuwashukuru wale wote waliojumuika nae na kufanikisha siku yake maalum.
Dr Sweetbert Mkama akimpongeza mama mwenye nyumba wake kwani mafanikio yake ni mafanikio yetu sote.
Edward Taji pamoja na Mariam Mkama waliweza kufika na kujumuika na mama Matrida Mkama.
Wageni mbalimbali...
Keki iliyoandaliwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuendana na tukio husika.
Mrs Matrida mkama akiwa na furaha na kuwashukuru wale wote waliojumuika nae na kufanikisha siku yake maalum.
Dr Sweetbert Mkama akimpongeza mama mwenye nyumba wake kwani mafanikio yake ni mafanikio yetu sote.
Edward Taji pamoja na Mariam Mkama waliweza kufika na kujumuika na mama Matrida Mkama.
Wageni mbalimbali...
9 years ago
Bongo516 Aug
Picha: Flaviana Matata sasa ni Mrs Massawe, jionee picha za harusi yake
Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe. Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam. Photo Credit: Various Instagram Pages Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, […]
9 years ago
VijimamboPICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE
Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe.Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
GPLPICHA ZA MAHAFALI SAUT
Chrispine Mwashambwa na Mkewe Huruma Malema, wakiwa na nyuso za furaha muda mfupi baada ya kuhitimu masomo yao.Mwashambwa ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi Mbeya,amehitimu Digrii (Masters ) yake ya Sheria, wakati mkewe amehitimu Shahada ya Ualimu katika chuo kikuu cha SAUT Juzi.
Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi wilaya ya Mbeya,Chrispine Mwashambwana Mkewe Huruma Malema wakikata utepe muda mfupi wa kutihimu Digrii (Masters)...
9 years ago
VijimamboHABARI PICHA MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA ST.MARYS MBEYA
Wanafunzi wa shule ya Kimataifa ya St.Marrys Forest jijini Mbeya wakitoa burudani katika mahafali ya Darasa la saba katika shule hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mbeya .Picha Jamiimojablog Wahitimu wa Elimu ya Msingi katika shule ya Kimataifa ya St.Marrys Forest Jijini Mbeya Wazazi na walezi Uongozi wa shule ukitoa zawadi kwa wanafunzi walifanya vizuri katika masomo yao kwa upande wa wanafunzi wote kwa ujumla waliobaki shuleni hapo. Wahitimu waliofanya vizuri katika masomo yao...
11 years ago
MichuziDW YAWAAGA WATANGAZAJI ANUARY MKAMA NA AMIDA ISSA
Anuary Mkama kutoka Radio Mlimani nchini Tanzania na mwenzake Amida Issa kutoka Burundi waagwa rasmi DW mjini Bonn baada ya kumaliza mafunzo utangazaji kwa vitendo yaliyodumu katika kipindi cha miezi sita. Wote wawili sasa wanajiandaa kurejea katika mataifa yao kwenda kutuma ujuzi waliouvuna kutoka DW Bonn. Wafanyakazi wa DW baada ya hafla fupi ya kuwaaga watangazaji Anuary Mkama kutoka Tanzania na Amida Issa kutoka Burundi. Anuary Mkama akikabidhiwa cheti chake na Naibu Mkuu wa Idhaa ya...
11 years ago
Michuziintroducing kazi za msanii ashery mkama wa dar es salaam
Msanii Ashery Mkama wa Dar es salaam amefika ofisi za Globu ya Jamii na kutambulisha kazi zake zilizokamilika za sanamu za wanyama mbalimbali alizotengeneza kwa kutumia karatasi . Anasema yeye ana uwezo wa kutengeneza sanamu ya mnyama yeyote ama kitu chochote kile. Ukihitaji huduma zake mwandikie kwa kutumia email ya asherymkama@gmail.com
10 years ago
Mwananchi07 Nov
MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART
>Wakati utawala wa kibaguzi wa Afrika Kusini ulipofikia ukomo na mwaka 1994, uongozi mpya wa Chama cha ANC chini ya Mzee Nelson Mandela, ulikumbana na changamoto kubwa ya kuwawezesha kiuchumi Waafrika walio wengi.
10 years ago
CloudsFM30 Sep
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania