DW YAWAAGA WATANGAZAJI ANUARY MKAMA NA AMIDA ISSA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Czexhu4EVS4/U8ZF0q9FbcI/AAAAAAAF2qI/xFnsM2RN7NI/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Anuary Mkama kutoka Radio Mlimani nchini Tanzania na mwenzake Amida Issa kutoka Burundi waagwa rasmi DW mjini Bonn baada ya kumaliza mafunzo utangazaji kwa vitendo yaliyodumu katika kipindi cha miezi sita. Wote wawili sasa wanajiandaa kurejea katika mataifa yao kwenda kutuma ujuzi waliouvuna kutoka DW Bonn. Wafanyakazi wa DW baada ya hafla fupi ya kuwaaga watangazaji Anuary Mkama kutoka Tanzania na Amida Issa kutoka Burundi.
Anuary Mkama akikabidhiwa cheti chake na Naibu Mkuu wa Idhaa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboPICHA ZAIDI ZA MAHAFALI YA MRS. MATRIDA MKAMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qM8-GHs4BRU/VBZu5M1WkRI/AAAAAAAGjp8/mHQV9ye3I8c/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAWAAGA WASTAAFU WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-qM8-GHs4BRU/VBZu5M1WkRI/AAAAAAAGjp8/mHQV9ye3I8c/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ahmBN-Unz8/VBZu5XSt8_I/AAAAAAAGjqE/rLJ84s1zPqU/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vtd-S4qwZPY/VBZuw3_xqbI/AAAAAAAGjow/5AH_yLkqTrE/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7E_eOqPptrA/UxT4V934MfI/AAAAAAAFQ-o/F7H1JoXByiU/s72-c/unnamed+%252818%2529.jpg)
introducing kazi za msanii ashery mkama wa dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-7E_eOqPptrA/UxT4V934MfI/AAAAAAAFQ-o/F7H1JoXByiU/s1600/unnamed+%252818%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboHONGERA SANA MAMA MATRIDA MKAMA KWA KUJINYAKULIA NONDO
10 years ago
Mwananchi07 Nov
MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0VoepXUNrlc/VYvhdO6O5AI/AAAAAAAHj4c/ZqSyed7Rpsc/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
UTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0VoepXUNrlc/VYvhdO6O5AI/AAAAAAAHj4c/ZqSyed7Rpsc/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZXboBr1xgaE/VYvhdMIt-WI/AAAAAAAHj4g/1zMc6GyVqNo/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAWAAGA WATAALAMU 6 WALIOMALIZA MUDA WA KUJITOLEA HAPA NCHINI
10 years ago
MichuziUTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA HAPA NCHINI
10 years ago
Habarileo11 Oct
Watangazaji waiponza Times Fm
KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo kali kwa kituo cha Redio cha Times Fm, pamoja na faini ya kulipa kiasi cha Sh milioni 1, kutokana na kukiuka vifungu vya maadili na kanuni za utangazaji, vilivyopo katika leseni ya utangazaji inayotolewa na mamlaka hiyo.