Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watangazaji waiponza Times Fm

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo kali kwa kituo cha Redio cha Times Fm, pamoja na faini ya kulipa kiasi cha Sh milioni 1, kutokana na kukiuka vifungu vya maadili na kanuni za utangazaji, vilivyopo katika leseni ya utangazaji inayotolewa na mamlaka hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ung’oaji viti Uwanja wa Taifa waiponza TFF

Serikali imelipiga faini ya Sh15 milioni Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na uharibifu uliofanywa na baadhi ya mashabiki katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika raundi ya kwanza kati ya Yanga na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Machi Mosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

GPL

MUUAJI WA WATANGAZAJI MAREKANI AJIUA!

Muuaji wa waandishi wawili wa kituo cha TV WDBJ, Vester Lee Flanagan, akitangaza katika kituo hicho kabla ya kufukuzwa kazi. Mtangazaji wa kituo cha  TV WDBJ, Alison Parker, enzi za uhai wake. Mpiga picha, Adam Ward, enzi za uhai wake.…

 

10 years ago

Mwananchi

Watangazaji wa kike wanaoipamba Azam TV

Kila kampuni mpya inapotangaza nafasi za kazi, matarajio ni kuwa wanaume wengi ndio watakaoshinda usaili na kuajiriwa, lakini imani hii imekumbana na changamoto kwenye kampuni mpya ya utangazaji ya Azam Media.

 

10 years ago

GPL

WATANGAZAJI WA EFM RADIO WAJIACHIA

Team Nzima ambayo inaongoza kipindi cha ya sports headquaters ambacho kinaruka kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu mpaka saa sita mchana (Kweli wamechizika).
RDJ X5 kutoka EFM akiwa na mchizi wake Kingwendu.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi watangazaji katika BBC

Kila mwaka BBC hutoa fursa kwa wanafunzi wa kati ya miaka 11 na miaka 16 walio na ndoto ya kuwa waandishi wa habari kupata mafunzo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Profile za watangazaji wa BBC, Dira ya Dunia

bbc swahili

Kassim Kayira_Swahili.docx by zainul_mzige21

Peter Musembi_Swahili.docx 

Salim Kikeke_swahili.docx 

Zuhura Yunus_Swahili.docx 

 

11 years ago

Mwananchi

Watangazaji Kibonde, Gadna watiwa mbaroni

Watangazaji wawili wa Clouds FM, Ephrahim Kibonde na Gadna Habash wamekamatwa na polisi kwa madai ya kusababisha ajali na kutoa lugha ya matusi kwa polisi.

 

11 years ago

Mwananchi

TV, redio zifundishe Kiswahili watangazaji wao

Nimewahi kuandika kuwa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza katika kuandika habari makala au katika mzungumzo rasmi ni kukidhalilisha Kiswahili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani