Watangazaji waiponza Times Fm
KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo kali kwa kituo cha Redio cha Times Fm, pamoja na faini ya kulipa kiasi cha Sh milioni 1, kutokana na kukiuka vifungu vya maadili na kanuni za utangazaji, vilivyopo katika leseni ya utangazaji inayotolewa na mamlaka hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi26 Nov
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Ung’oaji viti Uwanja wa Taifa waiponza TFF
Serikali imelipiga faini ya Sh15 milioni Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na uharibifu uliofanywa na baadhi ya mashabiki katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika raundi ya kwanza kati ya Yanga na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Machi Mosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/2BAEDA9000000578-0-image-m-11_1440643472151.jpg)
MUUAJI WA WATANGAZAJI MAREKANI AJIUA!
Muuaji wa waandishi wawili wa kituo cha TV WDBJ, Vester Lee Flanagan, akitangaza katika kituo hicho kabla ya kufukuzwa kazi. Mtangazaji wa kituo cha  TV WDBJ, Alison Parker, enzi za uhai wake. Mpiga picha, Adam Ward, enzi za uhai wake.…
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Watangazaji wa kike wanaoipamba Azam TV
Kila kampuni mpya inapotangaza nafasi za kazi, matarajio ni kuwa wanaume wengi ndio watakaoshinda usaili na kuajiriwa, lakini imani hii imekumbana na changamoto kwenye kampuni mpya ya utangazaji ya Azam Media.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7AvgqgLRyYkqa2UB*sgwyhSVitfHY*q*azT3f-W-jQOy10WG1nZmOumkmF-8s5HuP0vstdI50wRngvbgR1ODoUvx4ggiUeoI/1.jpg?width=650)
WATANGAZAJI WA EFM RADIO WAJIACHIA
Team Nzima ambayo inaongoza kipindi cha ya sports headquaters ambacho kinaruka kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu mpaka saa sita mchana (Kweli wamechizika).
RDJ X5 kutoka EFM akiwa na mchizi wake Kingwendu.…
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Wanafunzi watangazaji katika BBC
Kila mwaka BBC hutoa fursa kwa wanafunzi wa kati ya miaka 11 na miaka 16 walio na ndoto ya kuwa waandishi wa habari kupata mafunzo.
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Profile za watangazaji wa BBC, Dira ya Dunia
Kassim Kayira_Swahili.docx by zainul_mzige21
Peter Musembi_Swahili.docx
Salim Kikeke_swahili.docx
Zuhura Yunus_Swahili.docx
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Watangazaji Kibonde, Gadna watiwa mbaroni
Watangazaji wawili wa Clouds FM, Ephrahim Kibonde na Gadna Habash wamekamatwa na polisi kwa madai ya kusababisha ajali na kutoa lugha ya matusi kwa polisi.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
TV, redio zifundishe Kiswahili watangazaji wao
Nimewahi kuandika kuwa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza katika kuandika habari makala au katika mzungumzo rasmi ni kukidhalilisha Kiswahili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania