Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUUAJI WA WATANGAZAJI MAREKANI AJIUA!

Muuaji wa waandishi wawili wa kituo cha TV WDBJ, Vester Lee Flanagan, akitangaza katika kituo hicho kabla ya kufukuzwa kazi. Mtangazaji wa kituo cha  TV WDBJ, Alison Parker, enzi za uhai wake. Mpiga picha, Adam Ward, enzi za uhai wake.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Muuaji ajiua Marekani

Polisi nchini Marekani imesema muuaji wa Waandishi wawili wa habari nchini humo, amefariki dunia baada ya kujijeruhi wa risasi.

 

11 years ago

GPL

MUIGIZAJI ROBIN WILLIAMS WA MAREKANI AJIUA

Muigizaji na mchekeshaji maaarufu wa Marekani, Robin Williams enzi za uhai wake. Robin Williams akiwa na mke wake wa tatu, Susan Schneider.…

 

5 years ago

Bongo5

Marekani: Kijana aliyeua na kupost video ‘Live’ ajiua

Polisi nchini Marekani wamesema mtu ambaye alifanya mauaji kisha kutuma videi ya mauaji hayo ‘Live’ katika mtandao wa Facebook amejiua mwenyewe.

Habari zinasema Steve Stephens alijiua wakati maafisa wa polisi walipolikaribia Gari lake, walipokuwa wakimkimbiza takribani kilomita 150 kutoka Cleveland, Ohio, ambapo ndilo eneo la mauaji yaliyofanyika jumapili.

Picha za video za babu akipigwa risasi zilienea kwenye mitandao ya kijamii kwa saa mbili kabla ya kuondolewa.

Mwanzilishi wa mtandao...

 

10 years ago

Habarileo

Watangazaji waiponza Times Fm

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo kali kwa kituo cha Redio cha Times Fm, pamoja na faini ya kulipa kiasi cha Sh milioni 1, kutokana na kukiuka vifungu vya maadili na kanuni za utangazaji, vilivyopo katika leseni ya utangazaji inayotolewa na mamlaka hiyo.

 

10 years ago

GPL

WATANGAZAJI WA EFM RADIO WAJIACHIA

Team Nzima ambayo inaongoza kipindi cha ya sports headquaters ambacho kinaruka kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu mpaka saa sita mchana (Kweli wamechizika).
RDJ X5 kutoka EFM akiwa na mchizi wake Kingwendu.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi watangazaji katika BBC

Kila mwaka BBC hutoa fursa kwa wanafunzi wa kati ya miaka 11 na miaka 16 walio na ndoto ya kuwa waandishi wa habari kupata mafunzo.

 

10 years ago

Mwananchi

Watangazaji wa kike wanaoipamba Azam TV

Kila kampuni mpya inapotangaza nafasi za kazi, matarajio ni kuwa wanaume wengi ndio watakaoshinda usaili na kuajiriwa, lakini imani hii imekumbana na changamoto kwenye kampuni mpya ya utangazaji ya Azam Media.

 

11 years ago

Mwananchi

Watangazaji Kibonde, Gadna watiwa mbaroni

Watangazaji wawili wa Clouds FM, Ephrahim Kibonde na Gadna Habash wamekamatwa na polisi kwa madai ya kusababisha ajali na kutoa lugha ya matusi kwa polisi.

 

9 years ago

Mwananchi

TCRA: Acheni kuajiri watangazaji kanjanja

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imevitaka vyombo vya habari vya utangazaji, kuajiri watu wanaojua maadili ya kazi yao ili kulinda heshima ya sekta ya utangazaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani