Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi watangazaji katika BBC

Kila mwaka BBC hutoa fursa kwa wanafunzi wa kati ya miaka 11 na miaka 16 walio na ndoto ya kuwa waandishi wa habari kupata mafunzo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Profile za watangazaji wa BBC, Dira ya Dunia

bbc swahili

Kassim Kayira_Swahili.docx by zainul_mzige21

Peter Musembi_Swahili.docx 

Salim Kikeke_swahili.docx 

Zuhura Yunus_Swahili.docx 

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi wanaojihusisha katika biashara ya ngono kugharamia maisha yao katika vyuo vikuu

Idadi inayoongezeka ya wanafunzi huuza picha za utupu na mengineyo katika mitandao ili kugharamia maisha yao katika vyuo vikuu, utafiti umebaini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulanguzi katika soka :BBC imegundua

Wachezaji wa Afrika,miaka 14 wanasafirishwa kiharamu barani Asia, BBC yagundua. Wanalazimishwa kusaini mikataba kinyume cha sheria

 

10 years ago

Habarileo

Watangazaji waiponza Times Fm

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo kali kwa kituo cha Redio cha Times Fm, pamoja na faini ya kulipa kiasi cha Sh milioni 1, kutokana na kukiuka vifungu vya maadili na kanuni za utangazaji, vilivyopo katika leseni ya utangazaji inayotolewa na mamlaka hiyo.

 

9 years ago

GPL

MUUAJI WA WATANGAZAJI MAREKANI AJIUA!

Muuaji wa waandishi wawili wa kituo cha TV WDBJ, Vester Lee Flanagan, akitangaza katika kituo hicho kabla ya kufukuzwa kazi. Mtangazaji wa kituo cha  TV WDBJ, Alison Parker, enzi za uhai wake. Mpiga picha, Adam Ward, enzi za uhai wake.…

 

10 years ago

GPL

WATANGAZAJI WA EFM RADIO WAJIACHIA

Team Nzima ambayo inaongoza kipindi cha ya sports headquaters ambacho kinaruka kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu mpaka saa sita mchana (Kweli wamechizika).
RDJ X5 kutoka EFM akiwa na mchizi wake Kingwendu.…

 

10 years ago

Mwananchi

Watangazaji wa kike wanaoipamba Azam TV

Kila kampuni mpya inapotangaza nafasi za kazi, matarajio ni kuwa wanaume wengi ndio watakaoshinda usaili na kuajiriwa, lakini imani hii imekumbana na changamoto kwenye kampuni mpya ya utangazaji ya Azam Media.

 

10 years ago

StarTV

Wanaonyanyasa wanafunzi katika usafiri watakiwa kushughulikiwa.

Na Abdalla Pandu,

Zanzibar.

 

Wakati umefika kwa wadau mbalimbali kuhakikisha wanasimamia kikamilifu sheria za daladala juu ya kuwabeba wanafunzi ili kuondoa manyanyaso yanayofanywa na madereva na makondakta dhidi ya wanafunzi wakati wa kwenda shule ama kurejea nyumbani.

 

Jumuiya ya Serikali za wanafunzi visiwani Zanzibar imeamua kuwaalika wadau mbalimbali wanaohusika na usafirishaji pamoja na wasimamizi wa sheria ili kulitafutia ufumbuzi suala la manyanyaso wanayoyapata wanafunzi ambayo...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaagiza mafunzo kwa watangazaji

Dk Fenela Mukangara.SERIKALI imeviagiza vyombo vyote vya utangazaji hapa nchini kuhakikisha wafanyakazi wao wanapatiwa mafunzo na kupewa ujuzi wa kufanya kazi kwa uadilifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani