Wanaonyanyasa wanafunzi katika usafiri watakiwa kushughulikiwa.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Wakati umefika kwa wadau mbalimbali kuhakikisha wanasimamia kikamilifu sheria za daladala juu ya kuwabeba wanafunzi ili kuondoa manyanyaso yanayofanywa na madereva na makondakta dhidi ya wanafunzi wakati wa kwenda shule ama kurejea nyumbani.
Jumuiya ya Serikali za wanafunzi visiwani Zanzibar imeamua kuwaalika wadau mbalimbali wanaohusika na usafirishaji pamoja na wasimamizi wa sheria ili kulitafutia ufumbuzi suala la manyanyaso wanayoyapata wanafunzi ambayo...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Serikali yaonya wanaonyanyasa wanafunzi albino
SERIKALI imetoa wito kwa walimu na wadau wote wa elimu kwamba ni marufuku kuwanyanyasa watoto wenye ulemavu, hasa wenye ulemavu wa ngozi (albino) wanapokuwa shuleni. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Wanafunzi wakwama usafiri Ubungo
9 years ago
Raia Tanzania31 Aug
Adha ya usafiri kwa wanafunzi na mustakabali wetu
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lw7jzDePYkE/U3uA311pZTI/AAAAAAAFj4I/RUBOm3EzhfI/s72-c/419019_10150720985913420_2033299647_n.jpg)
UDA KUTOA VITAMBULISHO MAALUM VYA USAFIRI KWA WANAFUNZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lw7jzDePYkE/U3uA311pZTI/AAAAAAAFj4I/RUBOm3EzhfI/s1600/419019_10150720985913420_2033299647_n.jpg)
Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wanaandaa mkakati wa kusafirisha wanafunzi kwa vitambulisho maalum vya wanafunzi kwa bei naafuu kwa kutumia mabasi ya UDA kwenda shule za pembezoni.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Kinondoni Omath Sanga wakati akisoma taarifa ya Idara ya Elimu kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alipoitembelea shule ya Sekondari ya Kata ya Salma Kikwete iliyopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0N5HrTIhFU0/XnOHCiiFGJI/AAAAAAALkdo/lBUJC6JZ-lEnpaGbabLCpMn9infR4isEgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B17.18.37.jpeg)
WANAFUNZI WALALAMIKIA USAFIRI BAADA YA VYUO KUFUNGWA KWA SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0N5HrTIhFU0/XnOHCiiFGJI/AAAAAAALkdo/lBUJC6JZ-lEnpaGbabLCpMn9infR4isEgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B17.18.37.jpeg)
WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu na vya kati jijini Dodoma wameishukuru serikali kwa kufunga vyuo hivyo ili kuondoa msongamano katika maeneo yao ya vyuo unaoweza kusababisha maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.
Wakizungumza na Michuzi leo jijini Dodoma wanafunzi hao wamesema kuwa ikitokea mmoja wao amekumbwa na virusi vya corona ingeweza kusambaa kwa kasi kubwa na kupelekea maambukizi kuenea kwa haraka zaidi hivyo serikali imefanya jambo la busara kufunga vyuo na...
11 years ago
Michuzi30 Jun
wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mjini dodoma wahaha kusaka usafiri
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6CoGsPw1Zw/U7AA0Y57TrI/AAAAAAAAuuA/zRoQ9ZvRKyU/s1600/1.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-Ubs4ii7JqUM/U7AA2EImJmI/AAAAAAAAuuI/CpU90VyKFkA/s1600/2.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-um9DKxBNykA/U7AA2N1_XiI/AAAAAAAAuuM/5hFQZNVkaoQ/s1600/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Wanafunzi wa kike watakiwa kujitambua
WANAFUNZI wa kike nchini wametakiwa kujitambua pindi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao shuleni kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili katika kufikia malengo ya kielimu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Wanafunzi watakiwa kusoma kwa malengo
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jacqueline Mneney, amewataka wanafunzi nchini kusoma kwa malengo ya kutimiza ndoto zao za baadaye. Amesema ikiwa kila anayesoma ataondokana na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DLxo70HRoeM/VfrdLUqqRhI/AAAAAAAH5mc/ooHr1XVWAL0/s72-c/Graduation%2B10.jpg)
WANAFUNZI WATAKIWA KUWEKEZA KWENYE ELIMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-DLxo70HRoeM/VfrdLUqqRhI/AAAAAAAH5mc/ooHr1XVWAL0/s640/Graduation%2B10.jpg)
Hayo yamesemwa na Mkuu wa utawala na uongozi wa chuo cha Habari maalum,Mr Ernest Karata wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo cha Full Bright college kilichopo Ngaramtoni,wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Katika mahafali hayo wanafunzi wanane...