Wanafunzi wakwama usafiri Ubungo
Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ni miongoni mwa watu walioathirika kutokana na adha ya usafiri iliyojitokeza katika Stendi Kuu ya Mabasi Unungo (UBT) .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Maelfu ya abiria wakwama Ubungo
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Usafiri wa mabasi ya mikoani Ubungo balaa
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Usafiri kituo cha Ubungo sasa ‘poa’
5 years ago
CCM Blog
MUONEKANO WA BARABARA ZA JUU UBUNGO DAR, VYOMBO VYA USAFIRI VYAANZA KUPITA


.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

10 years ago
GPL
POMBE YA MBEGE YAZUA TIMBWILI NI MCHANA KWEUPE, AFUNGA BARABARA, USAFIRI UBUNGO WATIBUKA
10 years ago
Dewji Blog04 May
NEWS ALERT!!! Mgomo wa madereva tena hali tete Ubungo na baadhi ya maeneo usafiri kizungumkuti!!
Eneo la Ubungo ambalo kwa sasa mabasi yamegoma abiria wakiwa hawana la kujua nini la kufanya !!!!! taaarifa na picha zaidi zitaendelea kutolewa na mtandao huu ambao upo eneo la tukio!!.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
New Alert Mgomo wa madereva Saga! ni kuwa tayari madereva wa mabasi wamegoma tena siku ya leo Mei 4, kutokana na mashiniko mbalimbali ya madai yao kwa Serikali. Hata hivyo hali kwa Ubungo bado ni tete licha ya vulumai ya hapa na pale ikiwemo askari wa usalama barabarani...
10 years ago
StarTV16 Apr
Wanaonyanyasa wanafunzi katika usafiri watakiwa kushughulikiwa.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Wakati umefika kwa wadau mbalimbali kuhakikisha wanasimamia kikamilifu sheria za daladala juu ya kuwabeba wanafunzi ili kuondoa manyanyaso yanayofanywa na madereva na makondakta dhidi ya wanafunzi wakati wa kwenda shule ama kurejea nyumbani.
Jumuiya ya Serikali za wanafunzi visiwani Zanzibar imeamua kuwaalika wadau mbalimbali wanaohusika na usafirishaji pamoja na wasimamizi wa sheria ili kulitafutia ufumbuzi suala la manyanyaso wanayoyapata wanafunzi ambayo...
10 years ago
Raia Tanzania31 Aug
Adha ya usafiri kwa wanafunzi na mustakabali wetu
11 years ago
Michuzi
UDA KUTOA VITAMBULISHO MAALUM VYA USAFIRI KWA WANAFUNZI

Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wanaandaa mkakati wa kusafirisha wanafunzi kwa vitambulisho maalum vya wanafunzi kwa bei naafuu kwa kutumia mabasi ya UDA kwenda shule za pembezoni.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Kinondoni Omath Sanga wakati akisoma taarifa ya Idara ya Elimu kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alipoitembelea shule ya Sekondari ya Kata ya Salma Kikwete iliyopo...