Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usafiri kituo cha Ubungo sasa ‘poa’

>Hali ya usafiri katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo,  imerejea kuwa ya kawaida.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo

Salam kwako Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na  utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...

 

10 years ago

GPL

KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, HALI ILIVYO KATIKA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO

Maji yakiwa yamejaa katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani, Ubungo. Kufuatia mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, maeneo…

 

10 years ago

Mtanzania

Kituo cha mabasi Ubungo ‘kinavyotafunwa’

Katika gazeti hili toleo la jana, tuliaandika namna mapato yanayopatikana katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo, (UBT) kilichopo jijini Dar es Salaam, yanavyokusanywa na kuishia mikononi mwa watu wachache huku miundombinu yake ikizidi kudorora.

Watoto walala juu ya miti
Gazeti hili lilibaini kuwapo kundi kubwa la watoto kutoka mikoa mbalimbali wamejenga makazi yao ya kudumu katika eneo hilo na kuwa sehemu ya maisha yao.

Jua linapozama watoto hao wenye umri kati ya miaka 7 hadi...

 

10 years ago

Habarileo

Kituo cha daladala Ubungo kuzinduliwa

KITUO kipya cha daladala cha Ubungo kilichohamishiwa Kituo cha Simu, kati ya barabara ya Sam Nujoma na Sinza jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho kutwa. Hayo yalielezwa katika taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Ofisa Mfawidhi wake, Conrad Shio.

 

10 years ago

Mwananchi

Kero za wasafiri Kituo cha Mabasi Ubungo

Januari 21 mwaka jana iliendeshwa operesheni ya kubomoa majengo kwenye kituo cha mabasi yaendayo nje ya mkoa cha Ubungo, (Ubungo Bus Terminal Stand, UBS). 

 

10 years ago

Mwananchi

Utapeli wakithiri Kituo cha Mabasi Ubungo

Kama siyo mwenyeji wa jiji hili au kama hujatembelea maeneo ya Ubungo kwa muda mrefu unaweza kupoteza ramani ya hapa. Kwa sasa eneo hili lina mwonekano tofauti kiasi ukilinganisha na kipindi cha nyuma. 

 

10 years ago

Mwananchi

Kuvunjwa kituo cha Ubungo ni ama kukurupuka au makusudi

Kuna mambo yanatokea katika nchi hii ambayo ni ya aibu na kuumiza. Mambo hayo yanafanya mtu ujiulize jee hapa wahusika walitekeleza jambo husika kwa kukurupuka kwa sababu ya kutokujua au wamefanya kusudi?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani