Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kituo cha daladala Ubungo kuzinduliwa

KITUO kipya cha daladala cha Ubungo kilichohamishiwa Kituo cha Simu, kati ya barabara ya Sam Nujoma na Sinza jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho kutwa. Hayo yalielezwa katika taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Ofisa Mfawidhi wake, Conrad Shio.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kituo kipya cha daladala Ubungo kuanza mwezi ujao

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda KITUO kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la Mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha Ubungo kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa sehemu kubwa.

 

11 years ago

Michuzi

WATOTO WALIVYOJITOA KUKIPIGA SOP SOP KITUO CHA DALADALA CHA UBUNGO JIJINI DAR

Children who are housed at the SOS Children’s Villages at Dar es Salaam tie refuse bags after participated of cleaning the Ubungo Commuter buses shelter located along Morogoro Road in Dar es Salaam on Saturday last week as part of their program to educate the community on the environment cleaning awareness.

 

11 years ago

GPL

KITUO KIPYA KILICHOSUSIWA NA MADEREVA DALADALA UBUNGO JIJINI DAR

Eneo la kituo kipya kilichopo nyuma ya jengo la Mawasiliano Tower. Wamiliki na madereva wanayofanya safari zake kati ya Ubungo na Mwenge jijini Dar leo wamegomea amri ya kutumia kituo kipya walichoamriwa na serikali kukitumia kilichopo nyuma ya jengo la Mawasiliano Tower, Ubungo jijini Dar. Mwanahabari wetu alitembelea kituo hicho na kukuta mafundi wakiendelea na ujenzi huku kukiwa na marundo ya vifusi. PICHA NA RICHARD BUKOS...

 

9 years ago

Michuzi

Kituo cha kisasa cha michezo kwa vijana cha JMK cha Kidongo Chekundu kuzinduliwa Oktoba 19, 2015

 Sehemu ya viwanja vya mpira wa kikapu katika kituo cha kisasa kabisa cha Michezo kwa vijana cha Jakaya Mrisho Kikwete Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam  vimekamilika, saambmba na viwanja vya soka na michezo mingine. Kituo hiki cha Vijana cha Michezo mbalimbali kinachodhaminiwa na Klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza cha Sunderland kwa kushirikiana na kampuni ya umeme ya Symbion Power kinatarjiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 19 Oktoba mwaka huu. 

 

5 years ago

Michuzi

KITUO KIKUU CHA MABASI CHA DODOMA KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI, MKURUGENZI WA JIJI AFUNGUKA

Charles James, Michuzi TV

JIJI la Dodoma limesema ifikapo Juni 30 mwaka huu ndio itakua mwisho kwa Mabasi makubwa ya abiria kupaki nje ya Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi katika mkutano wake na wandishi wa habari wakati alipotembelea Ujenzi wa Kituo hicho kinachojengwa katika eneo la Nzuguni.

Kunambi amesema ujenzi wa Kituo hiko ambacho kitakua kikubwa kuliko vyote kwa ukanda wa Afrika Mashariki tayari umekamilika...

 

11 years ago

Habarileo

Kituo cha Tanzania, Burundi kuzinduliwa

TANZANIA na Burundi zitakuwa nchi za kwanza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kuanza kuwa na kituo cha pamoja cha kutolea huduma mpaka wa Kabanga / Kobero, kitakachoanza kufanya kazi mwisho wa mwezi huu.

 

11 years ago

Michuzi

kituo cha daladala cha marikiti zanzibar chahamia michenzani na mnazi mmoja

 Hapa Marikiti mjini Zanzibar ndipo kilipokuwepo kituo cha daladala mjini Unguja, Hivi sasa kimeshahamishwa na kuachwa kweupe na raha mustarehe kwa wakazi wa visiwani  Raha mustarehe kwa wana Unguja  Zogo sasa limehamia Michenzani karibu na afisi kuu za CCM za Kisiwandui ambako daladala zote husimama kwa sasa. Hakika kuna haja kubwa ya kuliangalia swala hili..Maana hapa pahala pafinyu mno!

 

11 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA KINONDONI MNALIONA HILI; KITUO CHA DALADALA CHA BIAFRA CHAGEUZWA DAMPO

Uchafu ukiwa nyuma ya kituo cha Biafra na ukitizama picha vizuri kuna abiria amekaa lakini cha kusikitisha nyuma yake kuna uchafu ambao unatoa harufu mbaya na pia kuna wafanya biashara katika eneo hili. Sehemu hii imekuwa kero kwa abiria wanaoshuka na hata wanaopanda magari kwenye hiki kituo cha Biafra kilchopo Kinondoni kwani kuna uchafu mwingi unaotupwa na wakazi wa eneo hilo mpaka kituo hiki kubadilishwa na kuwa dampo.  Hii ndio hali halisi ya kituo cha Biafra kilichopo kwenye wilaya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani