Adha ya usafiri kwa wanafunzi na mustakabali wetu
WAKATI mikakati mbalimbali ya kuongeza kiwango cha elimu kwa wanafunzi ikiendelea kufanyiwa kazi, bado kuna changamoto ya usafiri wa uhakika kwa wanafunzi haujaangaliwa kwa jicho la umakini.
Inawezekana likaonekana suala la kawaida kwa sababu limepigiwa kelele kwa muda mrefu, lakini mwanafunzi anahitaji kuwa na utulivu wa akili anapoamka na anaporudi nyumbani kutoka shule. Yote yanakamilika kwa kupata nyenzo nzuri ya kumpeleka shule asubuhi na kumrudisha nyumbani jioni. “Changamoto...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-54txhL4gdkE/VJgVduJQCmI/AAAAAAAG5Cs/XPMzDhLkw4Q/s72-c/DSC_0214.jpg)
ADHA YA USAFIRI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-54txhL4gdkE/VJgVduJQCmI/AAAAAAAG5Cs/XPMzDhLkw4Q/s1600/DSC_0214.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3k5a37ZdtFo/VJgVebraZNI/AAAAAAAG5C0/irXA0ovSeV4/s1600/DSC_0223.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t5j1EWnLPEc/VJgVkLa2h6I/AAAAAAAG5DE/7e3JMHdYilo/s1600/DSC_0228.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Adha ya usafiri mkoani Simiyu inavyotesa wananchi Ngorongoro
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lw7jzDePYkE/U3uA311pZTI/AAAAAAAFj4I/RUBOm3EzhfI/s72-c/419019_10150720985913420_2033299647_n.jpg)
UDA KUTOA VITAMBULISHO MAALUM VYA USAFIRI KWA WANAFUNZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lw7jzDePYkE/U3uA311pZTI/AAAAAAAFj4I/RUBOm3EzhfI/s1600/419019_10150720985913420_2033299647_n.jpg)
Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wanaandaa mkakati wa kusafirisha wanafunzi kwa vitambulisho maalum vya wanafunzi kwa bei naafuu kwa kutumia mabasi ya UDA kwenda shule za pembezoni.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Kinondoni Omath Sanga wakati akisoma taarifa ya Idara ya Elimu kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alipoitembelea shule ya Sekondari ya Kata ya Salma Kikwete iliyopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0N5HrTIhFU0/XnOHCiiFGJI/AAAAAAALkdo/lBUJC6JZ-lEnpaGbabLCpMn9infR4isEgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B17.18.37.jpeg)
WANAFUNZI WALALAMIKIA USAFIRI BAADA YA VYUO KUFUNGWA KWA SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0N5HrTIhFU0/XnOHCiiFGJI/AAAAAAALkdo/lBUJC6JZ-lEnpaGbabLCpMn9infR4isEgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B17.18.37.jpeg)
WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu na vya kati jijini Dodoma wameishukuru serikali kwa kufunga vyuo hivyo ili kuondoa msongamano katika maeneo yao ya vyuo unaoweza kusababisha maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.
Wakizungumza na Michuzi leo jijini Dodoma wanafunzi hao wamesema kuwa ikitokea mmoja wao amekumbwa na virusi vya corona ingeweza kusambaa kwa kasi kubwa na kupelekea maambukizi kuenea kwa haraka zaidi hivyo serikali imefanya jambo la busara kufunga vyuo na...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Wanafunzi wakwama usafiri Ubungo
10 years ago
StarTV16 Apr
Wanaonyanyasa wanafunzi katika usafiri watakiwa kushughulikiwa.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Wakati umefika kwa wadau mbalimbali kuhakikisha wanasimamia kikamilifu sheria za daladala juu ya kuwabeba wanafunzi ili kuondoa manyanyaso yanayofanywa na madereva na makondakta dhidi ya wanafunzi wakati wa kwenda shule ama kurejea nyumbani.
Jumuiya ya Serikali za wanafunzi visiwani Zanzibar imeamua kuwaalika wadau mbalimbali wanaohusika na usafirishaji pamoja na wasimamizi wa sheria ili kulitafutia ufumbuzi suala la manyanyaso wanayoyapata wanafunzi ambayo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s72-c/unnamed+(30).jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s1600/unnamed+(30).jpg)
11 years ago
Michuzi30 Jun
wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mjini dodoma wahaha kusaka usafiri
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6CoGsPw1Zw/U7AA0Y57TrI/AAAAAAAAuuA/zRoQ9ZvRKyU/s1600/1.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-Ubs4ii7JqUM/U7AA2EImJmI/AAAAAAAAuuI/CpU90VyKFkA/s1600/2.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-um9DKxBNykA/U7AA2N1_XiI/AAAAAAAAuuM/5hFQZNVkaoQ/s1600/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Wajawazito na adha waipatayo kwa wauguzi
UDAKTARI, uuguzi na ukunga zinajulikana kama kazi za wito, hivyo kila anayezifanya lazima awe mkarimu na mpole kwa wagonjwa. Lakini siku zinavyozidi kwenda, sifa hizo zinazidi kutoweka. Inawezekana kutokana na...