Wajawazito na adha waipatayo kwa wauguzi
UDAKTARI, uuguzi na ukunga zinajulikana kama kazi za wito, hivyo kila anayezifanya lazima awe mkarimu na mpole kwa wagonjwa. Lakini siku zinavyozidi kwenda, sifa hizo zinazidi kutoweka. Inawezekana kutokana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKEq0zL6lrq-jWDR0vdZ5I-T-x*M4Wk38Qdab2YSwApzDcTCrRAOwj9a8FmNBfx0RLbqQ8P*5kPcrYrv2smfuwS/nesiiiii2.jpg?width=650)
JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Mavuno yageuka adha kwa wanawake Mbozi
YAWEZEKANA kipindi cha mavuno ya mazao kikawa cha furaha na faraja kwa familia hasa ikizingatiwa ni kipindi cha matunda ya kazi ngumu ya kilimo. Lakini kwa wanawake wa Mbozi, imekuwa...
9 years ago
Raia Tanzania31 Aug
Adha ya usafiri kwa wanafunzi na mustakabali wetu
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Changamoto kwa wauguzi
10 years ago
Vijimambo11 years ago
Mtanzania06 Aug
Wauguzi kizimbani kwa kuondoa dripu
![Jiji la Mwanza](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/jiji-la-mwanza.jpg)
Jiji la Mwanza
NA JUDITH NYANGE, MWANZA.
WAUGUZI wawili wa Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana wamepandishwa mahakamani kwa tuhuma za kuomba rushwa kwa wagonjwa pamoja na kuwaondolea mgonjwa matone maji ya dawa maarufu kama dripu.
Akiwasomea shtaka la kwanza mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahamaka ya Mkoa wa Mwanza, Abeisiza Laurian, Wakili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Lenin Njau alisema watuhumiwa Joyce Mongu na Marystela Winfred wote wakiwa wauguzi wa Hospitali ya Wilaya...
11 years ago
Habarileo11 Mar
Serikali yaonya wauguzi kwa lugha mbaya
SERIKALI imewataka wauguzi nchini kuacha kutoa lugha mbaya kwa wananchi. Badala yake, wametakiwa kuboresha utoaji wa huduma za afya na kuwa wepesi wa kusahihisha mapungufu ili kuhakikisha huduma sahihi zinatolewa.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kuzaliana kwa wingi huongeza vifo kwa wajawazito