UDA KUTOA VITAMBULISHO MAALUM VYA USAFIRI KWA WANAFUNZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lw7jzDePYkE/U3uA311pZTI/AAAAAAAFj4I/RUBOm3EzhfI/s72-c/419019_10150720985913420_2033299647_n.jpg)
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wanaandaa mkakati wa kusafirisha wanafunzi kwa vitambulisho maalum vya wanafunzi kwa bei naafuu kwa kutumia mabasi ya UDA kwenda shule za pembezoni.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Kinondoni Omath Sanga wakati akisoma taarifa ya Idara ya Elimu kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alipoitembelea shule ya Sekondari ya Kata ya Salma Kikwete iliyopo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboUBALOZI WA UINGEREZA WAKABIDHI VIFAA VYA USALAMA NA KUTOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA)
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Rita kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi shule za msingi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dqD_QkHo5D0/VPBlSgkxEYI/AAAAAAAHGNk/p_VUtgo8zXA/s72-c/DSCF5044.jpg)
RITA wazindua mkakati wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilaya ya Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-dqD_QkHo5D0/VPBlSgkxEYI/AAAAAAAHGNk/p_VUtgo8zXA/s1600/DSCF5044.jpg)
11 years ago
Michuzi30 Jun
wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mjini dodoma wahaha kusaka usafiri
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6CoGsPw1Zw/U7AA0Y57TrI/AAAAAAAAuuA/zRoQ9ZvRKyU/s1600/1.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-Ubs4ii7JqUM/U7AA2EImJmI/AAAAAAAAuuI/CpU90VyKFkA/s1600/2.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-um9DKxBNykA/U7AA2N1_XiI/AAAAAAAAuuM/5hFQZNVkaoQ/s1600/3.jpg)
9 years ago
Raia Tanzania31 Aug
Adha ya usafiri kwa wanafunzi na mustakabali wetu
11 years ago
Mwananchi28 Jun
USAFIRI: Sumatra yaiamuru Uda kushusha nauli
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0N5HrTIhFU0/XnOHCiiFGJI/AAAAAAALkdo/lBUJC6JZ-lEnpaGbabLCpMn9infR4isEgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B17.18.37.jpeg)
WANAFUNZI WALALAMIKIA USAFIRI BAADA YA VYUO KUFUNGWA KWA SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0N5HrTIhFU0/XnOHCiiFGJI/AAAAAAALkdo/lBUJC6JZ-lEnpaGbabLCpMn9infR4isEgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B17.18.37.jpeg)
WANAFUNZI wa Vyuo Vikuu na vya kati jijini Dodoma wameishukuru serikali kwa kufunga vyuo hivyo ili kuondoa msongamano katika maeneo yao ya vyuo unaoweza kusababisha maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.
Wakizungumza na Michuzi leo jijini Dodoma wanafunzi hao wamesema kuwa ikitokea mmoja wao amekumbwa na virusi vya corona ingeweza kusambaa kwa kasi kubwa na kupelekea maambukizi kuenea kwa haraka zaidi hivyo serikali imefanya jambo la busara kufunga vyuo na...
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
UDA yasisitiza nia yake ya kuboresha usafiri Dar Es Salaam
Na Mwandishi Wetu,
KAMPUNI ya Simon Group Limited imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze kuitawala biashara ya usafiri.
Kwa mujibu wa taarifa ya UDA, mpango unaendelea wa kuifanya Dar es Salaam liwe jiji lenye urahisi katika usafiri kwa kufanya kazi kwa karibu na...