UDA yasisitiza nia yake ya kuboresha usafiri Dar Es Salaam
Na Mwandishi Wetu,
KAMPUNI ya Simon Group Limited imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze kuitawala biashara ya usafiri.
Kwa mujibu wa taarifa ya UDA, mpango unaendelea wa kuifanya Dar es Salaam liwe jiji lenye urahisi katika usafiri kwa kufanya kazi kwa karibu na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Sumatra yasisitiza UDA kufuata sheria
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa nchi Kavu na Majini (Sumatra), imesisitiza Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) kutakiwa kufuata taratibu zote za usafirishaji kama ilivyo kwa daladala nyingine....
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
UDA, wamiliki daladala Dar es Salaam wapongezwa
UONGOZI wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), pamoja na wamiliki wa daladala mkoa wa Dar es Salaam, wamesaini mkataba wa makubaliano ya kushirikiana kwa lengo la kushinda zabuni ya...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Usafiri wa treni Dar es Salaam kuongezwa
HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria jijini Dar es Salaam inatarajiwa kuongezwa mwaka huu watu wengi zaidi wanufaike. Aidha mchakato wa ujenzi wa barabara za juu ya nyingine katika njia panda za Tazara na Ubungo umeshaanza.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xskr19HQTjM/VUsZOF2FyPI/AAAAAAAHV1M/Kd6BPG55L48/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
usafiri wa pantoni jijini Dar es salaam leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xskr19HQTjM/VUsZOF2FyPI/AAAAAAAHV1M/Kd6BPG55L48/s640/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HCqO0eanTWY/VUsZOR1-q0I/AAAAAAAHV1Q/l8-w4_ex220/s640/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B2s5R9GCCvM/VUsZN22FoEI/AAAAAAAHV1I/OGiYUW9Az7Y/s640/unnamed%2B(67).jpg)
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
UDART: Tunaleta heshima ya usafiri wa umma Dar es Salaam
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ameelekeza ije mvua liwake jua, mradi wa mabasi ya mwendo kasi lazi
Mwandishi Wetu
11 years ago
Mwananchi28 Jun
USAFIRI: Sumatra yaiamuru Uda kushusha nauli
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/crcpwtXj4DA/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lw7jzDePYkE/U3uA311pZTI/AAAAAAAFj4I/RUBOm3EzhfI/s72-c/419019_10150720985913420_2033299647_n.jpg)
UDA KUTOA VITAMBULISHO MAALUM VYA USAFIRI KWA WANAFUNZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lw7jzDePYkE/U3uA311pZTI/AAAAAAAFj4I/RUBOm3EzhfI/s1600/419019_10150720985913420_2033299647_n.jpg)
Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wanaandaa mkakati wa kusafirisha wanafunzi kwa vitambulisho maalum vya wanafunzi kwa bei naafuu kwa kutumia mabasi ya UDA kwenda shule za pembezoni.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Kinondoni Omath Sanga wakati akisoma taarifa ya Idara ya Elimu kwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alipoitembelea shule ya Sekondari ya Kata ya Salma Kikwete iliyopo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s72-c/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA TAKWIMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-bX0go3TiAgg/VHc5qQfWb9I/AAAAAAAGzzM/lgZ-yqW9ZNA/s1600/Takwimu%2B-%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-coo8fizGrms/VHc5uFEMqvI/AAAAAAAGzz0/QEwvexxv_gU/s1600/Takwimu-%2B2.jpg)