Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumatra yasisitiza UDA kufuata sheria

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa nchi Kavu na Majini (Sumatra), imesisitiza Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) kutakiwa kufuata taratibu zote za usafirishaji kama ilivyo kwa daladala nyingine....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

UDA yaitesa Sumatra

MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesema Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kipindi hiki linawapa wakati mgumu kutokana na kushindwa kutii taratibu zilizowekwa barabarani. Akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Sumatra yaing’ang’ania Uda

>Mabasi mengine 25 ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda), yamekamatwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Majini na Baharini (Sumatra), kutokana na kuendelea kukaidi amri ya kuwataka wafuate sheria za usafirishaji wa abiria jijini.

 

11 years ago

Mwananchi

Sumatra yaendelea kuikalia kooni Uda

>Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuanzia leo  wametakiwa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Majini na Nchi Kavu (Sumatra) pindi watakapotumia usafiri wa mabasi ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) yasiyokuwa na vibao vinavyoonyesha  njia.

 

11 years ago

Dewji Blog

UDA yasisitiza nia yake ya kuboresha usafiri Dar Es Salaam

419019_10150720985913420_2033299647_n

Na Mwandishi Wetu,

KAMPUNI ya Simon Group Limited imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze kuitawala biashara ya usafiri.

Kwa mujibu wa taarifa ya UDA, mpango unaendelea wa kuifanya Dar es Salaam liwe jiji lenye urahisi katika usafiri kwa kufanya kazi kwa karibu na...

 

11 years ago

Mwananchi

USAFIRI: Sumatra yaiamuru Uda kushusha nauli

>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imetoa amri kwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam kutoza viwango sawa vya nauli  kama vinavyotozwa na daladala za kawaida.

 

10 years ago

Habarileo

NGOs zatakiwa kufuata sheria

MASHIRIKA yasiyo ya serikali(NGOs) yamekumbushwa kufanya kazi bila ubaguzi na kuhakikisha yanafuata taratibu na sheria za usajili wake.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva wasisitizwa kufuata sheria

KAMPENI ya usalama barabarani ya kuwataka madereva nchini kuzingatia sheria za usalama barabarani iliyozinduliwa hivi karibuni na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe jana imeendelea katika mkoa wa Dodoma.

 

10 years ago

Habarileo

Waajiri watakiwa kufuata sheria

MWENYEKITI mpya wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) amewataka waajiri na wafanyakazi wote nchini kufuata Sheria na Taratibu za Kazi, kwani uvunjwaji wake ndio chanzo kikubwa cha uwepo wa migogoro mingi inayowasilishwa kwenye tume hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM watakiwa kufuata sheria

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amewataka wanasiasa wanaofanya mikutano ya hadhara katika majimbo yao kuacha mara moja kwani ni kuvunja sheria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani