POMBE YA MBEGE YAZUA TIMBWILI NI MCHANA KWEUPE, AFUNGA BARABARA, USAFIRI UBUNGO WATIBUKA
![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0LFUqr9jZy77gkElPfYnGnBNRJC*tiky14xaxXfomPEVhtF7Ff7CsLBmsLEJVl6m9ah9nKxGZ0xWSyWvO1E-hBc/mbege.gif?width=650)
DEOGRATIUS MONGELA NA CHANDE ABDALLAH ULEVI asubuhi! Pombe maarufu kwa jina la Mbege hivi karibuni ilizua timbwili la aina yake baada ya mama anayeuza kilevi hicho maarufu mama Manka kulazimika kuwajia juu wateja wake wawili ambao ni makondakta wa mabasi yaendayo mikoani katika stendi kuu ya Ubungo jijini Dar es Salaam. Shuhuda wa tukio hilo lililojaza watu alisema lilitokea asubuhi ya Machi 20, mwaka huu chini ya daraja jipya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/QhKR1KcIPDw/default.jpg)
MUONEKANO WA BARABARA ZA JUU UBUNGO DAR, VYOMBO VYA USAFIRI VYAANZA KUPITA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/77-660x400.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/11-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/22-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/33-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/44-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/66-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/77-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/78-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/99-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/000-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/1222-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/20-950x534.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OnOI0fI8*FCh0pkyyZFRPagOfcumTqMh6879pyDepGwSAUO37oH6JQ-3qUNjbIhw0qGax59NqnUA62jVl1E3z9h/IMG20141223WA0011.jpg?width=650)
APIGWA RISASI MCHANA KWEUPE, AFARIKI
10 years ago
Vijimambo22 May
BILIONI 600 ZIMEPIGWA MCHANA KWEUPE TUNAISHIA KUJIUZULU
![](http://api.ning.com/files/jEI2iEfKUOh8cv7zWg3Q5sWHyFZF5y6vFlue6CFi2EOZPV77eK8HUlWNSxHNr9F4Uxx9C6VLtxy*NpIW-jRJHd8e1YzKBgA1/JakayaKikwete.jpg?width=650)
TUNAAMBIWA wakati tukipata uhuru mwaka 1961, nchi yetu ilikuwa na uchumi sawa na nchi kama Singapore, Malaysia na nyingine nyingi zilizokuwa dunia ya tatu. Leo tunapojifananisha na nchi hizo za Asia, tunaonekana vichekesho.
Lakini si nchi hizo mbili tu, bali kuna mataifa mengi yamefanya vizuri kiuchumi kuliko sisi, hata kwa zile za Afrika, bara ambalo historia inatuambia watawala wake wametawaliwa na tamaa, ubinafsi, chuki na wivu dhidi ya wanaowaongoza.
Ndiyo maana...
10 years ago
GPLAPIGWA RISASI MCHANA KWEUPE, MAGOMENI JIJINI DAR ES SALAAM!
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Wanafunzi wakwama usafiri Ubungo
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Usafiri wa mabasi ya mikoani Ubungo balaa
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Usafiri kituo cha Ubungo sasa ‘poa’
11 years ago
Habarileo20 Jun
Barabara Ubungo kufungwa
KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag International GmbH inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) imetangaza kufungwa kwa baadhi ya njia katika eneo la taa za Ubungo, Dar es Salaam kuanzia leo usiku hadi keshokutwa kwa ajili ya kuruhusu ujenzi.