WATANGAZAJI WA EFM RADIO WAJIACHIA
![](http://api.ning.com:80/files/7AvgqgLRyYkqa2UB*sgwyhSVitfHY*q*azT3f-W-jQOy10WG1nZmOumkmF-8s5HuP0vstdI50wRngvbgR1ODoUvx4ggiUeoI/1.jpg?width=650)
Team Nzima ambayo inaongoza kipindi cha ya sports headquaters ambacho kinaruka kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu mpaka saa sita mchana (Kweli wamechizika). RDJ X5 kutoka EFM akiwa na mchizi wake Kingwendu.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziExclusive: Maulid Kitenge wa Radio One ahamia Radio EFM
Mtangazaji mahiri wa habari za michezo wa siku nyingi Maulidi Baraka Kitenge amejiunga na kituo cha radio kiitwacho EFM 93.7 kilichopo Kawe jijini Dar Es salaam leo.
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...
9 years ago
GPLEFM RADIO YAANDAA SHINDANO
Ofisa habari wa Efm Radio, Lydia Moyo akizunguza jambo kabla ya mkutano na wanahabari. Kutoka kushoto ni Ofisa habari wa Efm, Lydia Moyo, Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano wa Efm, Dennis Ssebo, na Dina Marios Mtayarishaji wa kipindi hicho.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrWusD9n4Z7tucGtSPwB948WdMrVqt0sKL86cNkgAjmGYMfvgaPvxpKiVyvyfAKVLNLpF5ha*nHQstGobJvBGpKX/EFMBANNER.jpg?width=650)
HAPPY BIRTHDAY 93.7 Efm RADIO!
Baadhi ya vijana wa kazi wa Efm Radio Kwa moyo mkunjufu kabisa, nina penda kuwapongeza sana 93.7 Efm Radio kwa kutimiza mwaka mmoja tangu waanze kurusha matangazo yao hewani. Nina sababu nyingi za kuwapongeza lakini wakati wa kugonga “glass za cheers†niseme hivi; Kwanza kama unatafuta mifano halisi ya ufafanuzi wa mpango wa serikali wa matokeo makubwa sasa (BRN) mimi nafikiri EFM ni mfano halisi. Kwa nini nasema...
9 years ago
Michuzi24 Aug
10 years ago
GPLWAKUU WA GLOBAL WATEMBELEA EFM RADIO
Mkurugenzi wa Global Publishers, Marsha Bukumbi ( wa pili toka kushoto), Meneja Mkuu wa Global, Abdallah Mrisho ( wa pili kutoka kulia) wakiongea na Mkurugenzi wa Radio EFM, Francis Ciza ( Majey) (kulia) na Meneja wa EFM, Geoffrey Ndawula ( kushoto). Marsha Bukumbi na Abdallah Mrisho wakisalimiana na mtangazaji wa EFM, Sostenes Ambakisye (kushoto aliyekaa).… ...
10 years ago
GPLMAULID KITENGE ATUA RADIO EFM RASMI
Mtangazaji mahiri wa habari za michezo, Maulidi Baraka Kitenge akisaini mkataba wa kazi na kituo cha radio kiitwacho EFM 93.7 kilichopo Kawe jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM, Dickson Ponela.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljy*xKBsHyfp4Fd7Z3FMHEppSjxPm2bRQfPG3QBURq8pzMuf2rp6XOHWHmeX9hV8vpSTENCrKGV*HscM484YXybA/Wadauwamitandao1.jpg?width=650)
EFM RADIO YAZUNGUMZA NA WADAU WA HABARI ZA MITANDAO
Mtangazaji wa Radio 93.7 EFM ya jijini Dar es Salaam, Samira Kiango (pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau wa Habari za Mitandao, Clarence Mulisa kutoka Global Publishers & General Enterprises Ltd (kulia), Fredrick Bundara kutoka Bongo 5 (pili kushoto) pamoja na Othman Michuzi wa Mtaa kwa Mtaa Blog chini ya Michuzi Media Group, mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mezani, kilichokuwa kikijadili suala zima la...
11 years ago
GPL30 Jul
PENNY AONYESHA MBWEMBWE ZAKE NDANI YA EFM RADIO
Mtangazaji wa kipindi cha Genge cha radio EFM, Penniel Mwingilwa 'VJ Penny' akifanya vitu vyake studio juzi Jumamatu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania