Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulanguzi katika soka :BBC imegundua

Wachezaji wa Afrika,miaka 14 wanasafirishwa kiharamu barani Asia, BBC yagundua. Wanalazimishwa kusaini mikataba kinyume cha sheria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

BBC Africa Eye: imegundua vitendo vya mateso vinavyotekelezwa na polisi

Kitengo cha BBC Africa Eye kimebaini ushahidi wa video zinazoshtusha ukionesha vitendo vya utesaji watu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake 5 kupigania taji la soka la BBC

Mshindi wa taji hilo atatangazwa mnamo mwezi May.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi watangazaji katika BBC

Kila mwaka BBC hutoa fursa kwa wanafunzi wa kati ya miaka 11 na miaka 16 walio na ndoto ya kuwa waandishi wa habari kupata mafunzo.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Marufuku siasa katika soka’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga marufuku wadau wake kuelezea hisia zao za kisiasa na kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo yenye nembo za klabu na wadhamini wa ligi.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Vodacom kutumia Sh bil 6.6 katika soka

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), jana limeingia mkataba mpya wa Sh bilioni 6.6 na kampuni ya simu za mkononi Vodacom kwa ajili ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.

Mkataba huo wa miaka mitatu unaifanya Vodacom kuendelea kuwa wadhamini wakuu wa ligi kuu nchini kwa miaka mitatu zaidi katika msimu wa 2015/16 ambapo kila mwaka watakuwa wakipokea Sh bil 2.2. Aidha, msimu mpya wa ligi utakaoanza Septemba 12 mwaka huu utakuwa na timu 16 zitakazomenyana mwa miezi tisa kinyume na awali ligi...

 

11 years ago

Mwananchi

Ahadi hewa katika soka hazitakiwi

Mchezo wa soka siyo siasa. Madhara ya kuchanganya siasa na soka wote tunayafahamu. Soka la Tanzania linapukutika umaarufu kutokana na viongozi kuingiza siasa ndani yake. Mifano iko mingi!

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria yaongoza Afrika katika soka

Timu ya Algeria imepanda hadi nafasi ya 15 duniani mwezi huu.

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB NA TEKNOLOJIA KATIKA SOKA


Benki ya CRDB, imeendelea kuimarisha ushirikiano na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) katika upatikanaji wa Tiketi za kieelectroniki kwa wapenzi wa soka.  
Mfumo wa kupatikana Tiketi kwa njia ya Kielectroniki unalengo la kuongeza mapato ya TFF na hata kwa Vilabu vinavyoshiriki katika ligi inayodhaminiwa na TFF.


Jumapili kesho, tarehe 14/9/2014, Mfumo wa kielektroniki utatumika tena kuwauzia  wapenzi wa soka tiketi kwa ajili ya kwenda kushuhudia mechi kali kati ya Yanga na AZAM, kuwania Ngao ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani