Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Algeria yaongoza Afrika katika soka

Timu ya Algeria imepanda hadi nafasi ya 15 duniani mwezi huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA

Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na Mwakilishi wa kudumu katika Umoja wa Afrika, akiongoza mjadala huo ambao ulihudhuriwa pia na Bibi. Leila Zerrougui ( wa tatu kushoto), Mwakilishi Maalamu ( Special Representative) wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya watoto na Vita, na Balozi Smail Chergui (wa nne kushoto), Kamishina wa Amani na Usalama wa Umoja wa Afrika. Aliopo nyuma ya Mhe. Balozi Naimi Aziz, ni Bi. Suma Mwakyusa, Afisa Ubalozi Mwandamizi. Bw....

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA (CHILDREN AND ARMED CONFLICTS IN AFRICA) JIJINI ADDIS ABABA

 Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na Mwakilishi wa kudumu  katika Umoja wa Afrika (katikati), akiongoza mjadala huo ambao ulihudhuriwa pia na Bibi. Leila Zerrougui ( wa tatu kushoto), Mwakilishi Maalamu ( Special Representative) wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya watoto na Vita, na Balozi Smail Chergui (wa nne kushoto), Kamishina wa Amani na Usalama wa Umoja wa Afrika. Aliopo nyuma ya Mhe. Balozi Naimi Aziz, ni Bi. Suma Mwakyusa, Afisa Ubalozi...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAONGOZA AFRIKA MASHARIKI KWA UWEKEZAJI

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk. Florence Turuka (wa pili kulia) akionyesha ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji mara tu baada ya kuizindua kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia  ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Nakuala Senzia (wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya TIC,  Prof. Lucian Msambichaka (wa pili kushoto) na Mjumbe wa kamati ya Bodi ya TIC, Dr Frances Shao. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk....

 

5 years ago

Michuzi

Rwanda yaongoza Afrika Mashariki kwa Maambukizi ya COVID-19, wagonjwa wafikia 70

Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Corona  siku ya Jumapili na kufikisha 70 jumla ya watu wanaougua corona, Wizara ya afya Rwanda imetangaza.
Katika hotuba yake kwa taifa usiku wa Ijumaa Rais Paul Kagame alisema idadi hiyo itaendelea kuongezeka kwasababu wale waliotangamana na waathirika wanaendelea kutafutwa.
Katika visa vya hivi punde vya maambukizi, watu sita walitokea Dubai, wawili kutoka Afrika Kusini, mmoja kutoka Nigeria na mwigine alikuwa amesafiri maeneo...

 

11 years ago

BBCSwahili

BJP yaongoza katika Uchaguzi India

Shangwe imetanda katika makao makuu ya chama cha upinzani nchini India BJP baada ya matokeo ya awali kuonesha kinaongoza

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria kuchuana na Afrika kusini

Algeria yenye wachezaji nyota Yacine Brahimi, Sofiane Feghouli inapigiwa upato dhidi ya Afrika kusini katika mechi ya kundi C

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria yainyuka Afrika Kusini 3-1

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon imeendelea nchini Equatorial Guinea,kwa Algeria kuichapa Afrika Kusini 3-1

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Algeria ni timu bora Afrika

Algeria imesalia katika nafasi ya kwanza katika orodha mpya ya timu bora barani Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria fainali Kombe la Afrika 2015

Timu ya Algeria ndio timu ya kwanza kujikatia tikiti ya kushiriki kombe la Afrika Januari 2015baada ya kuinyuka Malawi 3-0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani