BJP yaongoza katika Uchaguzi India
Shangwe imetanda katika makao makuu ya chama cha upinzani nchini India BJP baada ya matokeo ya awali kuonesha kinaongoza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 May
Chama cha BJP chashinda uchaguzi India
Kuna mwamko mpya wa kisiasa nchini India ambapo chama cha kitaifa cha Hindu ,BJP kimeshinda uchaguzi mkuu.
11 years ago
GPLCCM YAONGOZA KATA 11 KATIKA JUMLA YA KATA 13, UCHAGUZI MDOGO KALENGA
Mashabiki wa CCM wakimbeba aliyekuwa mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini Godfrey Mgimwa, baada ya kupata matokeo ya awali ya CCM kuongoza kata 11 kati ya 13 katika matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo. Shamrashamra hizo…
10 years ago
Habarileo23 May
India yaongoza kupewa uraia
IDARA ya Uhamiaji kwa kipindi cha miezi tisa, kuanzia Julai mwaka 2014 hadi Machi huu, imewapa uraia wa Tanzania raia wa kigeni wapatao 192, kati yao 86 ni raia wa India.
9 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziCCM YAONGOZA UCHAGUZI VIJIJI,VITONGOJI NA MITAA MKOA WA PWANI
Na John Gagarini, Kibaha
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimeonyesha kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji ambapo kwenye matokeo ya awali kimeonekana kushinda maeneo mengi.
Katika Jimbo la Mafia CCM ilishinda vitongoji 96 kati ya 136 sawa na asilimia 70 Chama Cha Wananchi CUF asilimia 40 sawa na asilimia 29,katika vijiji CCM ilishinda vijiji 19 kati ya 23 sawa na asilimia 82.6 CUF vijiji 4 sawa na asilimia 17.3.
Katika Jimbo la Kibaha Mjini kati ya...
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimeonyesha kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji ambapo kwenye matokeo ya awali kimeonekana kushinda maeneo mengi.
Katika Jimbo la Mafia CCM ilishinda vitongoji 96 kati ya 136 sawa na asilimia 70 Chama Cha Wananchi CUF asilimia 40 sawa na asilimia 29,katika vijiji CCM ilishinda vijiji 19 kati ya 23 sawa na asilimia 82.6 CUF vijiji 4 sawa na asilimia 17.3.
Katika Jimbo la Kibaha Mjini kati ya...
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
11 years ago
MichuziNike yaongoza mtanange wa makampuni ya vifaa vya michezo katika kombe la dunia Brazil
Na Sultani Kipingo
wa Globu ya Jamii
Uwezo wa kifedha wa Nike unaipaisha kampuni hiyo katika vita vya Kombe la Dunia 2014 kwa kuiongoza kampuni ya Adidas kwa mabao 4 katika awamu ya makundi ya michuano hiyo huko Brazil. Kampuni ya Nike ambayo ndio kubwa zaidi duniani kwa vifaa vya michezo imeonesha umwamba wake baada ya nyota inayowadhamini kufunga mabao 61 katika awamu hiyo ya makundi, huku Adidas ikifuatia kwa magoli 57. Lakini Adidas wanaweza kupata ahueni kwa kuwa na njumu bora,...
Uwezo wa kifedha wa Nike unaipaisha kampuni hiyo katika vita vya Kombe la Dunia 2014 kwa kuiongoza kampuni ya Adidas kwa mabao 4 katika awamu ya makundi ya michuano hiyo huko Brazil. Kampuni ya Nike ambayo ndio kubwa zaidi duniani kwa vifaa vya michezo imeonesha umwamba wake baada ya nyota inayowadhamini kufunga mabao 61 katika awamu hiyo ya makundi, huku Adidas ikifuatia kwa magoli 57. Lakini Adidas wanaweza kupata ahueni kwa kuwa na njumu bora,...
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Uchaguzi mkubwa zaidi waanza India
Wapiga kura milioni 814 nchini India wameanza kuwachagua wawakilishi 543 katika kipindi cha mwezi mzima.
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Uchaguzi India waingia hatua muhimu
Uchaguzi wa India, taifa lenye demokrasia kubwa zaidi dunia unaingia hatua muhimu kwa uchaguzi wa majimbo muhimu ikiwemo Delhi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania