Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BJP yaongoza katika Uchaguzi India

Shangwe imetanda katika makao makuu ya chama cha upinzani nchini India BJP baada ya matokeo ya awali kuonesha kinaongoza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Chama cha BJP chashinda uchaguzi India

Kuna mwamko mpya wa kisiasa nchini India ambapo chama cha kitaifa cha Hindu ,BJP kimeshinda uchaguzi mkuu.

 

11 years ago

GPL

CCM YAONGOZA KATA 11 KATIKA JUMLA YA KATA 13, UCHAGUZI MDOGO KALENGA

Mashabiki wa CCM wakimbeba aliyekuwa mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini Godfrey Mgimwa, baada ya kupata matokeo ya awali ya CCM kuongoza kata 11 kati ya 13 katika matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo. Shamrashamra hizo…

 

10 years ago

Habarileo

India yaongoza kupewa uraia

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.IDARA ya Uhamiaji kwa kipindi cha miezi tisa, kuanzia Julai mwaka 2014 hadi Machi huu, imewapa uraia wa Tanzania raia wa kigeni wapatao 192, kati yao 86 ni raia wa India.

 

10 years ago

Michuzi

CCM YAONGOZA UCHAGUZI VIJIJI,VITONGOJI NA MITAA MKOA WA PWANI

Na John Gagarini, Kibaha
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimeonyesha kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji ambapo kwenye matokeo ya awali kimeonekana kushinda maeneo mengi.
Katika Jimbo la Mafia CCM ilishinda vitongoji  96 kati ya 136 sawa na asilimia 70 Chama Cha Wananchi CUF asilimia 40 sawa na asilimia 29,katika vijiji  CCM ilishinda vijiji 19 kati ya 23 sawa na asilimia 82.6 CUF vijiji 4 sawa na asilimia 17.3.
Katika Jimbo la Kibaha Mjini kati ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria yaongoza Afrika katika soka

Timu ya Algeria imepanda hadi nafasi ya 15 duniani mwezi huu.

 

11 years ago

Michuzi

Nike yaongoza mtanange wa makampuni ya vifaa vya michezo katika kombe la dunia Brazil

 Na Sultani Kipingo  wa Globu ya Jamii
Uwezo wa kifedha wa Nike unaipaisha kampuni hiyo katika vita vya Kombe la Dunia 2014 kwa kuiongoza kampuni ya Adidas kwa mabao 4 katika awamu ya makundi ya michuano hiyo huko Brazil.  Kampuni ya Nike ambayo ndio kubwa zaidi duniani kwa vifaa vya michezo imeonesha umwamba wake baada ya nyota inayowadhamini kufunga mabao 61 katika awamu hiyo ya makundi, huku Adidas ikifuatia kwa magoli 57.

 Lakini Adidas wanaweza kupata ahueni kwa kuwa na njumu bora,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkubwa zaidi waanza India

Wapiga kura milioni 814 nchini India wameanza kuwachagua wawakilishi 543 katika kipindi cha mwezi mzima.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi India waingia hatua muhimu

Uchaguzi wa India, taifa lenye demokrasia kubwa zaidi dunia unaingia hatua muhimu kwa uchaguzi wa majimbo muhimu ikiwemo Delhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani