Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chama cha BJP chashinda uchaguzi India

Kuna mwamko mpya wa kisiasa nchini India ambapo chama cha kitaifa cha Hindu ,BJP kimeshinda uchaguzi mkuu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Chama AK cha Uturuki chashinda uchaguzi

Chama cha AK cha Uturuki kimepata viti vingi vya bunge vitakavyoweza kudhibiti bunge la nchi hiyo baada ya kupoteza miezi mitano iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

BJP yaongoza katika Uchaguzi India

Shangwe imetanda katika makao makuu ya chama cha upinzani nchini India BJP baada ya matokeo ya awali kuonesha kinaongoza

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama tawala chashinda uchaguzi Botswana

Tume ya uchaguzi nchini Botswana inasema kuwa chama tawala nchini humo kimeshinda uchaguzi mkuu uliondaliwa siku ya ijumaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama tawala chashinda uchaguzi Zambia

Mgombea wa chama cha Patriotic Front Edga Lungu ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zambia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chama cha Syriza chashinda:Ugiriki

Chama cha Alexis Tsipras kimerejea tena madarakani nchini humo baada ya kushinda duru ya pili ya uchaguzi nchini Ugiriki..

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama Cha Nidaa chashinda Tunisia

Chama cha kidini nchini Tunisia Nidaa Tounes kimeshinda viti 85 katika uchaguzi wa ubunge nchini humo kulingana na matokeo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mali: chama cha rais Keita chashinda

Muungano wa vyama mbalimbali vinavyomuunga mkono Rais wa Mali, Ibrahim Boubakar Keita vimeshinda uchaguzi wa bunge.

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI

Evariste NdayishimiyeBURUNDI
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.

Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.

Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...

 

5 years ago

Michuzi

CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia  akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani