Chama AK cha Uturuki chashinda uchaguzi
Chama cha AK cha Uturuki kimepata viti vingi vya bunge vitakavyoweza kudhibiti bunge la nchi hiyo baada ya kupoteza miezi mitano iliyopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 May
Chama cha BJP chashinda uchaguzi India
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Chama tawala chashinda uchaguzi Zambia
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Chama tawala chashinda uchaguzi Botswana
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Chama cha Syriza chashinda:Ugiriki
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Chama Cha Nidaa chashinda Tunisia
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mali: chama cha rais Keita chashinda
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s72-c/ndayish.jpg)
CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s400/ndayish.jpg)
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.
Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Chama cha AK chapoteza ushawishi Uturuki
10 years ago
StarTV08 Jun
Chama cha AKP chapoteza ushawishi Uturuki
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/08/12/140812085035_turkey_elections_512x288_ap_nocredit.jpg)
Kura zikihesabiwa Uturuki
Huku kura nyingi zikiwa zishahesabiwa katika uchaguzi mkuu wa Uturuki, chama tawala cha AKP kinaonekana kupoteza idadi kubwa ya wabunge wake.
Matokeo yanaonyesha chama hicho kimeshinda kwa asilimia arobaini na mbili ya kura, huku kikiwa na upungufu wa viti kumi na nne kuweza kuunda serikali.
Huku kile kinachoungwa mkono na wakurd cha HDP kikivuka asilimia kumi kwa kupata viti takriban themanini hivyo kuweza kuingia bungeni kwa mara ya kwanza.
Iwapo itathibitishwa,...