Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chama AK cha Uturuki chashinda uchaguzi

Chama cha AK cha Uturuki kimepata viti vingi vya bunge vitakavyoweza kudhibiti bunge la nchi hiyo baada ya kupoteza miezi mitano iliyopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Chama cha BJP chashinda uchaguzi India

Kuna mwamko mpya wa kisiasa nchini India ambapo chama cha kitaifa cha Hindu ,BJP kimeshinda uchaguzi mkuu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama tawala chashinda uchaguzi Zambia

Mgombea wa chama cha Patriotic Front Edga Lungu ameshinda uchaguzi wa urais nchini Zambia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama tawala chashinda uchaguzi Botswana

Tume ya uchaguzi nchini Botswana inasema kuwa chama tawala nchini humo kimeshinda uchaguzi mkuu uliondaliwa siku ya ijumaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chama cha Syriza chashinda:Ugiriki

Chama cha Alexis Tsipras kimerejea tena madarakani nchini humo baada ya kushinda duru ya pili ya uchaguzi nchini Ugiriki..

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama Cha Nidaa chashinda Tunisia

Chama cha kidini nchini Tunisia Nidaa Tounes kimeshinda viti 85 katika uchaguzi wa ubunge nchini humo kulingana na matokeo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mali: chama cha rais Keita chashinda

Muungano wa vyama mbalimbali vinavyomuunga mkono Rais wa Mali, Ibrahim Boubakar Keita vimeshinda uchaguzi wa bunge.

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI

Evariste NdayishimiyeBURUNDI
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.

Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.

Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama cha AK chapoteza ushawishi Uturuki

uchaguzi mkuu wa Uturuki, chama tawala cha AK kinaonekana kupoteza idadi kubwa ya wabunge wake.

 

10 years ago

StarTV

Chama cha AKP chapoteza ushawishi Uturuki


Kura zikihesabiwa Uturuki

Huku kura nyingi zikiwa zishahesabiwa katika uchaguzi mkuu wa Uturuki, chama tawala cha AKP kinaonekana kupoteza idadi kubwa ya wabunge wake.

Matokeo yanaonyesha chama hicho kimeshinda kwa asilimia arobaini na mbili ya kura, huku kikiwa na upungufu wa viti kumi na nne kuweza kuunda serikali.

Huku kile kinachoungwa mkono na wakurd cha HDP kikivuka asilimia kumi kwa kupata viti takriban themanini hivyo kuweza kuingia bungeni kwa mara ya kwanza.

Iwapo itathibitishwa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani