Uchaguzi India waingia hatua muhimu
Uchaguzi wa India, taifa lenye demokrasia kubwa zaidi dunia unaingia hatua muhimu kwa uchaguzi wa majimbo muhimu ikiwemo Delhi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI
Na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog.Hali ya kushtusha imetokea katika uchaguzi wa Serikali ya Mtaa wa Migombani baada ya Afisa Mtendaji kufika na kutangaza kimyakimya Kuwa UChaguzi huo umesitishwaMara baada ya wakazi wa mtaa wa migombani kusikia ndipo walipoanza sasa kutafuta mchawi na kumtia nguvuni afisa mtendaji huyo wa mtaa kwa kutaka kujua sababu za msingi zinazopelekea yeye kuja kutangaza kusitisha uchaguzi huo.Afisa mtendaji huyo baada ya kuulizwa sababu za msingi alijitetea kuwa...
10 years ago
VijimamboUCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI MARA BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI
10 years ago
GPLUCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI MARA BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI
Wakazi wa Mtaa wa Migombani, Uliopo Katika kata ya Segerea Manispaa ya Ilala Jijini Dar Es Salaam wakiwa wamelizunguka gari la Afisa Mtendaji wa Kata ya Segerea aliyefika majira ya saa tisa kamili mchana huu na kutangaza kusitisha uchaguzi wa serikali ya mitaa kimya kimya. Afisa Mtendaji wa Kata ya Segerea (katikati mwenye shati la draft) akiwa kawekwa mtukati mara baada ya kuja na kutaka kusitisha uchaguzi bila sababu ya...
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Hatua tano za muhimu kuelekea mafanikio
Mara nyingi katika maisha yetu ya kila siku tumesikia maneno kama “nipe tano†“chukua tano†maneno haya yamekuwa maarufu katika mazingira tofauti maneno yakiashiria ushindi, au hali ya mafanikio au furaha baada ya hali fulani.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zW6b7QEt1Zk/ViW4eCuyuzI/AAAAAAABnlc/Gtn0PAA0rs0/s72-c/20151019204320.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani
![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Uchaguzi TBF waingia dosari
WAKATI Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), likitangaza kufanyika kwa uchaguzi wake mkuu Desemba 28 mwaka huu mjini Dodoma, makocha wa mchezo huo wameibuka na kuliomba Baraza la Michezo...
10 years ago
BBCSwahili25 May
Ethiopia: Uchaguzi waingia siku ya pili
Uchaguzi nchini Ethiopia umeingia siku yake ya pili katika baadhi ya sehemu za nchi hiyo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dv5A8yNqTys/Vc3pIXewZ0I/AAAAAAAHwnA/bjBKZOv7NGs/s72-c/C360_2015-08-14-14-05-01-925.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania