Uchaguzi TBF waingia dosari
WAKATI Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), likitangaza kufanyika kwa uchaguzi wake mkuu Desemba 28 mwaka huu mjini Dodoma, makocha wa mchezo huo wameibuka na kuliomba Baraza la Michezo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Aug
Uandikishaji Mabibo waingia dosari
UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR), katika eneo la Mabibo, Dar es Salaam umeingia dosari baada ya waandikishaji kugoma kuendelea kuandikisha kutokana na kutolipwa stahiki zao kwa wakati.
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Upigaji kura Kimara waingia dosari
Shughuli za upigaji kura katika kituo cha EDP kilichoko eneo la Kimara Stop Over jana zilisimama kwa muda na wapigakura kufungiwa ndani ya kituo baada ya kukosekana kwa karatasi za kupigia kura za mgombea urais.
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Mkutano wa Msigwa, bodaboda waingia dosari
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia nguvu ikiwamo kupiga risasi za moto hewani ili kutuliza vurugu zilizoibuka katika eneo la mkutano ulioitishwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Usaili uchaguzi TBF kufanyika Jumamosi
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesema usaili wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) utafanyika keshokutwa Jumamosi.
10 years ago
MichuziUCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI
Na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog.Hali ya kushtusha imetokea katika uchaguzi wa Serikali ya Mtaa wa Migombani baada ya Afisa Mtendaji kufika na kutangaza kimyakimya Kuwa UChaguzi huo umesitishwaMara baada ya wakazi wa mtaa wa migombani kusikia ndipo walipoanza sasa kutafuta mchawi na kumtia nguvuni afisa mtendaji huyo wa mtaa kwa kutaka kujua sababu za msingi zinazopelekea yeye kuja kutangaza kusitisha uchaguzi huo.Afisa mtendaji huyo baada ya kuulizwa sababu za msingi alijitetea kuwa...
10 years ago
VijimamboUCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI MARA BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI
Wakazi wa Mtaa wa Migombani, Uliopo Katika kata ya Segerea Manispaa ya Ilala Jijini Dar Es Salaam wakiwa wamelizunguka gari la Afisa Mtendaji wa Kata ya Segerea aliyefika majira ya saa tisa kamili mchana huu na kutangaza kusitisha uchaguzi wa serikali ya mitaa kimya kimya.Afisa Mtendaji wa Kata ya Segerea (katikati mwenye shati la draft) akiwa kawekwa mtukati mara baada ya kuja na kutaka kusitisha uchaguzi bila sababu ya msingi. waliomzunguka ni wakazi wa mtaa wa segerea wakimuhoji afisa...
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Samia: Tuombee dosari za uchaguzi Z’bar zimalizike
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania waendelee kuliombea taifa amani ili dosari zilizojitokeza Zanzibar zipatiwe ufumbuzi na kupatikana amani na umoja.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Wasomi, wanaharakati waeleza dosari zilivyoathiri uchaguzi
Baadhi ya wasomi na wanaharakati wamesikitishwa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulivyokuwa na dosari zinazofanana katika maeneo mengi ya nchi na kueleza wasiwasi wao kuwa huenda kulikuwa na njama za kuvuruga uchaguzi huo.
10 years ago
GPLUCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI MARA BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI
Wakazi wa Mtaa wa Migombani, Uliopo Katika kata ya Segerea Manispaa ya Ilala Jijini Dar Es Salaam wakiwa wamelizunguka gari la Afisa Mtendaji wa Kata ya Segerea aliyefika majira ya saa tisa kamili mchana huu na kutangaza kusitisha uchaguzi wa serikali ya mitaa kimya kimya. Afisa Mtendaji wa Kata ya Segerea (katikati mwenye shati la draft) akiwa kawekwa mtukati mara baada ya kuja na kutaka kusitisha uchaguzi bila sababu ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania