Mkutano wa Msigwa, bodaboda waingia dosari
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia nguvu ikiwamo kupiga risasi za moto hewani ili kutuliza vurugu zilizoibuka katika eneo la mkutano ulioitishwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog26 May
Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Uchaguzi TBF waingia dosari
WAKATI Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), likitangaza kufanyika kwa uchaguzi wake mkuu Desemba 28 mwaka huu mjini Dodoma, makocha wa mchezo huo wameibuka na kuliomba Baraza la Michezo...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Uandikishaji Mabibo waingia dosari
UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR), katika eneo la Mabibo, Dar es Salaam umeingia dosari baada ya waandikishaji kugoma kuendelea kuandikisha kutokana na kutolipwa stahiki zao kwa wakati.
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Upigaji kura Kimara waingia dosari
10 years ago
Vijimambo30 Jul
Mkutano wa 'Connect 2 Connect' Waingia Siku ya Pili Tanzania
5 years ago
MichuziMKUTANO KATI YA MKUU WA MKOA DAR, WAENDESHA BODABODA 'WAYEYUKA KIANA'
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Dec
DOSARI SERIKALI ZA MITAA
Wakurugenzi sita wafukuzwa kazi
Wabainika kuzembea na kuvuruga uchaguziGhasia: Serikali ilitimiza wajibu wake, sijiuzuluCHADEMA yazidi kuweweseka na matokeo
WALIOTIMULIWA KAZI
Benjamin Majoya- Mkuranga
Abdalla Ngodu- Kaliua
Masalu Mayaya- Kasulu
Goody Pamba- Serengeti
Juliua Madiga -Sengerema
Simon Mayeye- Bunda
WALIOSIMAMISHWA KAZI
Felix Mabula- Hanang
Fortunatus Fwema- Mbulu
Isabella Chilumba- Ulanga
Pendo Malabeja- Kwimba
William Shimwela- Sumbawanga
WALIOPEWA ONYO
Mohamed Maje- Rombo
Hamis Yuna...
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Jeraha lamtia dosari Azarenka