Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wa Msigwa, bodaboda waingia dosari

Jeshi la Polisi limelazimika kutumia nguvu ikiwamo kupiga risasi za moto hewani ili kutuliza vurugu zilizoibuka katika eneo la mkutano ulioitishwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji

DSC_0204

Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.

DSC_0232

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na  Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi TBF waingia dosari

WAKATI Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), likitangaza kufanyika kwa uchaguzi wake mkuu Desemba 28 mwaka huu mjini Dodoma, makocha wa mchezo huo wameibuka na kuliomba Baraza la Michezo...

 

10 years ago

Habarileo

Uandikishaji Mabibo waingia dosari

UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR), katika eneo la Mabibo, Dar es Salaam umeingia dosari baada ya waandikishaji kugoma kuendelea kuandikisha kutokana na kutolipwa stahiki zao kwa wakati.

 

9 years ago

Mwananchi

Upigaji kura Kimara waingia dosari

Shughuli za upigaji kura katika kituo cha EDP kilichoko eneo la Kimara Stop Over jana zilisimama kwa muda na wapigakura kufungiwa ndani ya kituo baada ya kukosekana kwa karatasi za kupigia kura za mgombea urais.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa 'Connect 2 Connect' Waingia Siku ya Pili Tanzania

Mijadala mbalimbali ikiendelea ndani ya siku ya pili ya mkutano wa Kimataifa wa 'Connect 2 Connect' unaoshirikisha wadau mbalimbali wa masuala ya mawasiliano barani Afrika, pamoja na wawakilishi wa taasisi binafsi zinazotoa huduma za mawasiliano na zinazotengeneza vifaa vya mawasiliano unaofanyika nchini Tanzania. Mijadala mbalimbali ikiendelea ndani ya siku ya pili ya mkutano wa Kimataifa wa 'Connect 2 Connect' unaoshirikisha wadau mbalimbali wa masuala ya mawasiliano barani Afrika, pamoja na wawakilishi wa taasisi binafsi zinazotoa huduma za mawasiliano na zinazotengeneza vifaa vya mawasiliano unaofanyika nchini Tanzania.Ofisa Biashara wa Mkongo wa Taifa kutoka TTCL, Ian Mawala (kushoto) akifanya mazungumzo kubadilishana uzoevu na mmoja wa wadau wa masuala ya mawasiliano barani Afrika, katika mkutano wa Kimataifa wa 'Connect 2 Connect'. Ofisa Biashara wa Mkongo wa Taifa kutoka TTCL, Ian Mawala (kushoto) akifanya mazungumzo kubadilishana uzoevu na mmoja wa wadau wa masuala ya mawasiliano barani Afrika, katika...

 

5 years ago

Michuzi

MKUTANO KATI YA MKUU WA MKOA DAR, WAENDESHA BODABODA 'WAYEYUKA KIANA'

 Mmoja ya viongozi wa waendesha bodaboda katika Jiji la Dar es Salaam akiwa chini ya ulinzi baada ya kudaiwa kuvuruga mkutano ambao ulikuwa umeitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.Kiongozi huyo anadaiwa alitoa taarifa za kuhairisha mkutano huo jambo ambalo halikuwa limewafurahisha wengine.  Askari Polisi wakiwa wamemuweka chini ya ulinzi mmoja ya viongozi wa waendesha bodaboda baada ya kutuhumiwa na waendesha bodaboda wenzake kuwa ametangaza kuhairishwa kwa mkutano kati yao...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

DOSARI SERIKALI ZA MITAA


Wakurugenzi sita wafukuzwa kazi

Wabainika kuzembea na kuvuruga uchaguziGhasia: Serikali ilitimiza wajibu wake, sijiuzuluCHADEMA yazidi kuweweseka na matokeo
WALIOTIMULIWA KAZI
Benjamin Majoya- Mkuranga
Abdalla Ngodu- Kaliua 
Masalu Mayaya- Kasulu 
Goody Pamba- Serengeti 
Juliua Madiga -Sengerema 
Simon Mayeye- Bunda

WALIOSIMAMISHWA KAZI
Felix Mabula- Hanang 
Fortunatus Fwema- Mbulu 
Isabella Chilumba- Ulanga 
Pendo Malabeja- Kwimba 
William Shimwela- Sumbawanga

WALIOPEWA ONYO
Mohamed Maje- Rombo 
Hamis Yuna...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeraha lamtia dosari Azarenka

Azarenka ameshindwa kushiriki mara mbili katika mashindano ya Australian Open

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani