‘Marufuku siasa katika soka’
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga marufuku wadau wake kuelezea hisia zao za kisiasa na kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo yenye nembo za klabu na wadhamini wa ligi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Aomba ndevu zipigwe marufuku katika soka
10 years ago
Vijimambo
2014 ULIKUWA MWAKA WA DIAMOND, SOKA ILIBAKIA KATIKA SIASA

MCLBy EDO KUMWEMB (email the author)
Na amefunga kazi kwa habari iliyotokea majuzi kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanaomlipa mshahara Haruna Moshi Boban pale Friends Rangers.

11 years ago
Mwananchi23 Sep
Mikutano ya siasa marufuku Kusini
10 years ago
Habarileo20 Aug
Marufuku kufanya siasa Uwanja wa Taifa
SERIKALI imepiga marufuku vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa katika uwanja wa taifa na kusisitiza, utabaki kwa ajili ya michezo pekee.
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo
10 years ago
GPL
MBALI NA SIASA, RAIS NKURUNZIZA NI MKALI WA SOKA
9 years ago
Bongo525 Nov
Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.
Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.
Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.
Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Chuki, fitina, ukata, siasa zinavyoua soka Arusha
10 years ago
Mwananchi16 Jul
MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka