Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Marufuku siasa katika soka’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga marufuku wadau wake kuelezea hisia zao za kisiasa na kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo yenye nembo za klabu na wadhamini wa ligi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Aomba ndevu zipigwe marufuku katika soka

Ilhan Vacvac,mwenyekiti wa kilabu ya Uturuki ya Genclerbirligi ametangza vita dhidi ya wanasoka wanaovuga ndevu.

 

10 years ago

Vijimambo

2014 ULIKUWA MWAKA WA DIAMOND, SOKA ILIBAKIA KATIKA SIASA


MCLBy EDO KUMWEMB (email the author) 
Na amefunga kazi kwa habari iliyotokea majuzi kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanaomlipa mshahara Haruna Moshi Boban pale Friends Rangers.MWAKA 2014 ulikuwa mwaka wa Diamond Platinumz. Mwanamuziki aliye bize kujitangaza kimataifa. Mwanamuziki anayeshinda tuzo nyingi anazoshiriki.Na amefunga kazi kwa habari iliyotokea majuzi kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanaomlipa mshahara Haruna Moshi Boban pale Friends Rangers.Huku katika soka ulikuwa mwaka wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mikutano ya siasa marufuku Kusini

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Tamisemi), Hawa Ghasia amesema Serikali haina mpango wa kuruhusu mikutano ya hadhara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

 

10 years ago

Habarileo

Marufuku kufanya siasa Uwanja wa Taifa

SERIKALI imepiga marufuku vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa katika uwanja wa taifa na kusisitiza, utabaki kwa ajili ya michezo pekee.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo

Maafisa wawili wa shirikisho la soka nchini Congo Brazaville wamepigwa marufuku na shirikisho la soka duniani FIFA

 

10 years ago

GPL

MBALI NA SIASA, RAIS NKURUNZIZA NI MKALI WA SOKA

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza akionyesha uwezo wake katika soka. MBALI na siasa, Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza pia ni mkali katika kusakata soka. Rais Nkurunziza akifanya vitu vyake uwanjani. Katika picha zilizotolewa na Reuters jana zimemuonyesha rais huyo akicheza soka pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini mwake. Rais… ...

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.

Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.

Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...

 

9 years ago

Mwananchi

Chuki, fitina, ukata, siasa zinavyoua soka Arusha

Ukizungumzia michezo Tanzania hauwezi kuacha kutaja Mkoa wa Arusha ambao uliwahi kupata umaarufu kupitia michezo hasa soka pamoja na riadha.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani