MBALI NA SIASA, RAIS NKURUNZIZA NI MKALI WA SOKA
![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5Ehp8QBeCW70Mc8jvyoenRi8QvMUDW5F0RGl1mzY7gCffHq0GdZ9njosdbFj6-JP65fyaNleFyVfc8KLcN-Uw58T/4.jpg)
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza akionyesha uwezo wake katika soka. MBALI na siasa, Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza pia ni mkali katika kusakata soka. Rais Nkurunziza akifanya vitu vyake uwanjani. Katika picha zilizotolewa na Reuters jana zimemuonyesha rais huyo akicheza soka pamoja na marafiki zake mjini Bujumbura licha ya mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini mwake. Rais… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bt6IpJJ82Xc/VdHG7gLAWkI/AAAAAAAHxyQ/qtfugpjI9zQ/s72-c/740.jpg)
WANACHAMA WA VYAMA VYA SIASA WAJITOKEZE KUWANIA NAFASI MBALI MBALI KUWANIA NAFASI NEC
![](http://2.bp.blogspot.com/-bt6IpJJ82Xc/VdHG7gLAWkI/AAAAAAAHxyQ/qtfugpjI9zQ/s640/740.jpg)
Iddi akikabidhiwa Fomu za kuwania nafasi ya Ujumbe wa Baraza laWawakilishi Zanzibar Jimbo la Mahonda kutoka kwa Afisa wa UchaguziWilaya ya Kaskazini B Ndugu Makame Pandu Khamis.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GpJeaYlcVsI/VdHG7nYzDRI/AAAAAAAHxyM/Z8OQaZrSr8o/s640/742.jpg)
Pandu Khamis akitoa maelezo kumpatia Balozi Seif ya namna ya ujazajiwa fomu za kuwania Uwakilishi Jimbo la Mahonda Ofisini kwake MahondaWilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unaguja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-r77g9zHypFs/VdHG74uDMaI/AAAAAAAHxyI/NVLarryMu5I/s640/744.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qXiSJQNRnVk/XmpBZPIuj7I/AAAAAAALiy0/kwmSaKRqQ5Eeh7lkaD4Rs7Fp5IYF-sKhQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0318-680x1024.jpg)
RAIS DK.SHEIN AMEZUNGUMZA NA WASANII MBALI MBALI ZANZIBAR LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-qXiSJQNRnVk/XmpBZPIuj7I/AAAAAAALiy0/kwmSaKRqQ5Eeh7lkaD4Rs7Fp5IYF-sKhQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0318-680x1024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-w7p0q0DBxM8/VXYASgn1LXI/AAAAAAAHdJE/HNi8S48KVUg/s72-c/h%2B%25281%2529.jpg)
TASWIRA MBALI MBALI ZA ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI UHOLANZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-w7p0q0DBxM8/VXYASgn1LXI/AAAAAAAHdJE/HNi8S48KVUg/s640/h%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S6DRVaVZ0o/VXYAcqfGpFI/AAAAAAAHdKs/zJliQPfqeZc/s640/h%2B%25284%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-25gjOoo7ZJo/VXYATNuJRVI/AAAAAAAHdJI/L1ILjOmjshI/s640/h%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
MichuziTASWIRA MBALI MBALI ZA ZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR, DKT. SHEIN NCHINI UJERUMANI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G1wijvOIaOE/UxsphuTk_QI/AAAAAAAFSAU/k_u-mpXaV1c/s72-c/5.jpg)
Rais Kikwete awaongoza viongozi mbali mbali na mamia ya waombolezaji kumfariji Mh. Sophia Simba kwa kufiwa na Mwanae Leeford Simba
![](http://1.bp.blogspot.com/-G1wijvOIaOE/UxsphuTk_QI/AAAAAAAFSAU/k_u-mpXaV1c/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F0eJK6_sLhc/UxsqAiqYkXI/AAAAAAAFSB8/w4vw7Bk1k3U/s1600/9.jpg)
9 years ago
Mwananchi16 Sep
‘Marufuku siasa katika soka’
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZfyI4Q_LPJ4/XuPeSvLcwNI/AAAAAAALtpI/ErHmkADQ2F4mmt_LgxVc4rx0xHv1Ny3igCLcBGAsYHQ/s72-c/w.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa...