Aomba ndevu zipigwe marufuku katika soka
Ilhan Vacvac,mwenyekiti wa kilabu ya Uturuki ya Genclerbirligi ametangza vita dhidi ya wanasoka wanaovuga ndevu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Sep
‘Marufuku siasa katika soka’
9 years ago
Habarileo02 Sep
Kaijage aomba soka ya wanawake iungwe mkono
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mpira wa wanawake unahitaji kuungwa mkono kama ilivyo kwa wanaume.
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo
9 years ago
Bongo525 Nov
Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka
![151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit-300x194.jpg)
Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.
Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.
Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.
Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Ataka kura za siri zipigwe kuwabaini wauza ‘unga’
11 years ago
BBCSwahili15 May
Je, njia bora ya unyoaji ndevu ni ipi ?
11 years ago
Habarileo26 Jun
Wanawake hatarini kuota ndevu, wanaume matiti
IDARA ya Afya ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeonya wakazi wake wanaotumia vipodozi vilivyotengenezwa na viambata vyenye sumu aina ya ‘Steroids’.
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Coronavirus: Je ndevu zinakuhatarisha kupata maambukizi ya ugonjwa huu?
5 years ago
Michuzi15 Feb
DK KAWAMBWA AOMBA VIFAA TIBA KATIKA KITUO CHA AFYA MATIMBWA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200214-WA0056-1024x768.jpg)
…………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
MBUNGE wa Jimbo la Bagamoyo Mkoa wa Pwani Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa ameeleza kukamilika kwa kituo cha afya Matimbwa ni mkombozi kwa wakazi wa Yombo,Matimbwa na maeneo jirani ambao walikuwa wakitaabika kukosa huduma za afya karibu hasa huduma za uzazi na upasuaji.
Dkt Kawambwa alisema hayo katika mkutano maalumu uliotumika kwa ajili ya kukamilishwa kwa ahadi iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Pwani Zaynab Vulu,...