Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aomba ndevu zipigwe marufuku katika soka

Ilhan Vacvac,mwenyekiti wa kilabu ya Uturuki ya Genclerbirligi ametangza vita dhidi ya wanasoka wanaovuga ndevu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

‘Marufuku siasa katika soka’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga marufuku wadau wake kuelezea hisia zao za kisiasa na kujihusisha katika kampeni za kisiasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mchezo huo yenye nembo za klabu na wadhamini wa ligi.

 

9 years ago

Habarileo

Kaijage aomba soka ya wanawake iungwe mkono

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mpira wa wanawake unahitaji kuungwa mkono kama ilivyo kwa wanaume.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo

Maafisa wawili wa shirikisho la soka nchini Congo Brazaville wamepigwa marufuku na shirikisho la soka duniani FIFA

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.

Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.

Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...

 

11 years ago

Mwananchi

Ataka kura za siri zipigwe kuwabaini wauza ‘unga’

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema utaratibu wa kutumia kura ya siri unaweza kusaidia kwa kiasi kikubwa kuwafichua waingizaji na waletaji wa dawa za kulevya nchini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je, njia bora ya unyoaji ndevu ni ipi ?

Je njia bora ya kunyoa ndevu ni ipi ? Kuanzia juu kuelekea kidevu ama kidevu kwenda juu ?

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake hatarini kuota ndevu, wanaume matiti

IDARA ya Afya ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeonya wakazi wake wanaotumia vipodozi vilivyotengenezwa na viambata vyenye sumu aina ya ‘Steroids’.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je ndevu zinakuhatarisha kupata maambukizi ya ugonjwa huu?

Madai ya kushangaza kwamba wanaume wanaonywa kunyoa ndevu zao ili kujilinda dhidi ya virusi vya corona yamesambaa katika mitandao ya kijamii.

 

5 years ago

Michuzi

DK KAWAMBWA AOMBA VIFAA TIBA KATIKA KITUO CHA AFYA MATIMBWA


…………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO

MBUNGE wa Jimbo la Bagamoyo Mkoa wa Pwani Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa ameeleza kukamilika kwa kituo cha afya Matimbwa ni mkombozi kwa wakazi wa Yombo,Matimbwa na maeneo jirani ambao walikuwa wakitaabika kukosa huduma za afya karibu hasa huduma za uzazi na upasuaji. 
Dkt Kawambwa alisema hayo katika mkutano maalumu uliotumika kwa ajili ya kukamilishwa kwa ahadi iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Pwani Zaynab Vulu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani