Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuaji ajiua Marekani

Polisi nchini Marekani imesema muuaji wa Waandishi wawili wa habari nchini humo, amefariki dunia baada ya kujijeruhi wa risasi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MUUAJI WA WATANGAZAJI MAREKANI AJIUA!

Muuaji wa waandishi wawili wa kituo cha TV WDBJ, Vester Lee Flanagan, akitangaza katika kituo hicho kabla ya kufukuzwa kazi. Mtangazaji wa kituo cha  TV WDBJ, Alison Parker, enzi za uhai wake. Mpiga picha, Adam Ward, enzi za uhai wake.…

 

11 years ago

GPL

MUIGIZAJI ROBIN WILLIAMS WA MAREKANI AJIUA

Muigizaji na mchekeshaji maaarufu wa Marekani, Robin Williams enzi za uhai wake. Robin Williams akiwa na mke wake wa tatu, Susan Schneider.…

 

5 years ago

Bongo5

Marekani: Kijana aliyeua na kupost video ‘Live’ ajiua

Polisi nchini Marekani wamesema mtu ambaye alifanya mauaji kisha kutuma videi ya mauaji hayo ‘Live’ katika mtandao wa Facebook amejiua mwenyewe.

Habari zinasema Steve Stephens alijiua wakati maafisa wa polisi walipolikaribia Gari lake, walipokuwa wakimkimbiza takribani kilomita 150 kutoka Cleveland, Ohio, ambapo ndilo eneo la mauaji yaliyofanyika jumapili.

Picha za video za babu akipigwa risasi zilienea kwenye mitandao ya kijamii kwa saa mbili kabla ya kuondolewa.

Mwanzilishi wa mtandao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa Meyiwa ni Kitendawili

Polisi nchini Africa Kusini wameanzisha msako dhidi ya mtu aliyempiga risasi kipa na kapteni wa timu ya taifa hilo Senzo Meyiwa.

 

11 years ago

Habarileo

‘Muuaji’ wa Tarime afariki dunia

MTUHUMIWA wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani Tarime mkoani Mara, aliyekuwa akihojiwa Polisi kwa tuhuma zilizokuwa zikimkabili, amefariki dunia katika Hospitali ya Wilaya wakati akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa pumu. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya, Kamishina Msaidizi Justus Kamugisha, alisema kuwa mtuhumiwa huyo jina lake halisi ni Charles Kichune (38) na alifariki usiku wa kuamkia jana wakati akitibiwa ugonjwa huo hospitalini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi brazil yamkamata muuaji

Polisi nchini Brazili wamemkamata mwanamume mmoja aliyekiri kwa kinywa chake kuua watu wapatao thelathini na tisa.

 

10 years ago

CloudsFM

JB amtaja ‘’muuaji’ wa filamu za Kibongo

Mwigizaji Mkongwe wa filamu za Kibongo, Jacob Steven’JB’ amefunguka sababu ya mashabiki wa filamu hizo kushuka tofauti na zamani ni kwamba waandaji wa filamu wamekuwa wakitoa ovyo filamu hizo bila utaratibu maalum. Aidha amefunguka kuwa zamani filamu zilikuwa zikitoka chache hivyo mashabiki walikuwa na hamu ya kusubiria filamu itakayokuja.
‘’Unajua zamani filamu zilikuwa chache sana ndiyo maana kila shabiki alikuwa anaitafuta sana filamu ndiyo maana zilikuwa na thamani lakini sasa hivi...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Muuaji’ wa Dk Mvungi apandishwa kizimbani

Mshtakiwa George Mulungu (28) mkazi wa Vingunguti amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa shtaka la kumuua kwa kukusudia aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa kanisani Charleston ashtakiwa

Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa la kihistoria la Kiafrika katika mji wa Charleston ameshtakiwa na mashtaka tisa ya mauaji pamoja na shtaka moja la kumiliki silaha, polisi wamesema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani