introducing kazi za msanii ashery mkama wa dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-7E_eOqPptrA/UxT4V934MfI/AAAAAAAFQ-o/F7H1JoXByiU/s72-c/unnamed+%252818%2529.jpg)
Msanii Ashery Mkama wa Dar es salaam amefika ofisi za Globu ya Jamii na kutambulisha kazi zake zilizokamilika za sanamu za wanyama mbalimbali alizotengeneza kwa kutumia karatasi . Anasema yeye ana uwezo wa kutengeneza sanamu ya mnyama yeyote ama kitu chochote kile. Ukihitaji huduma zake mwandikie kwa kutumia email ya asherymkama@gmail.com
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Pf93qi9GEiE/Vdyr0YyegGI/AAAAAAAHz-A/4pxFez6CnbY/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Introducing Kids Planet preschool at Mbweni JKT in the outskirts of Dar es salaam.
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha)
Ni usiku wa kuamkia January 1, 2016 ambapo mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva walikutana na kuenjoy muziki mzuri kutoka kwa msanii wa Nigeria, Tekno uliofanyika katika ukumbi wa King Solomon Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha za kutoka kwenye eneo hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]
The post Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Jamtz.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-aSY8AfjTSpk/VCGQvStxfVI/AAAAAAAABKs/a4-S1676ki4/s72-c/web.jpg)
HUYU NDO MSANII WA KIMATAIFA ATAKAEPIGA SHOW FIESTA YA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-aSY8AfjTSpk/VCGQvStxfVI/AAAAAAAABKs/a4-S1676ki4/s1600/web.jpg)
Wakati Tour ya Fiesta ikiwa inazunguka kwenye mikoa mbalimbali Tanzania ambapo weekend hii ni Mbeya na Songea, ametangazwa msanii wa kimataifa ambae ni rasmi atapanda kwenye stage ya Fiesta Dar es salaam October 2014 Leaders Club Kinondoni.
Rapper T.I ndio msanii wa kimataifa kwenye stage ya Fiesta October 18 2014 akiwa ni mkali ambae kwa sasa anamiliki chati za muziki kwa single yake ya No Mediocre
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1sns13TIZd0/U432nUlVFbI/AAAAAAAFnbA/Oh1MWYDO-CY/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Dk. Fenella Mukangara kuzindua Siku ya Msanii hoteli ya Sea Cliff, Dar es salaam
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iN2GeY6lhtM/U7G5ywCsEcI/AAAAAAAFtzs/0u9trzDwdcY/s72-c/dar1.jpg)
Trafiki wafanya kazi hadi usiku Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-iN2GeY6lhtM/U7G5ywCsEcI/AAAAAAAFtzs/0u9trzDwdcY/s1600/dar1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c1DqKuyJ2gQ/U7G5yC6aqFI/AAAAAAAFtzo/QSF5rLlWueo/s1600/dar2.jpg)
10 years ago
Michuziintroducing kiota kipya cha maraha na kilaji cha "Break Point Carnivore" Kinondoni, jijini Dar es salaam
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
HAPA KAZI TU: Watendaji waagizwa kusimamia usafi wa jiji la Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Jumanne Sagini (pichani).
Na Shamimu Nyaki -Maelezo
[DAR ES SALAAM] Watendaji wa Manispaa za Jiji la Dar es salaam wametakiwa kusimamia kwa ukamilifu suala la usafi katika maeneo yao ili kuzuia kusambaa kwa uchafu unaosababisha magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu.
Rai hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( TAMISEMI) Jumanne Sagini wakati...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qjoUUPoJEUE/UxnBgMh0HaI/AAAAAAAFRvQ/1YBh-_nsaoY/s72-c/unnamed1.jpg)
ndege nyingine ya atc yatua dar es salaam, kuanza kazi kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-qjoUUPoJEUE/UxnBgMh0HaI/AAAAAAAFRvQ/1YBh-_nsaoY/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bX92PpgbVI/UxnBgGsMjkI/AAAAAAAFRvM/k6L5IkF5Eeo/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Mg0Ol2MtVLE/XlyFw4U5t6I/AAAAAAALgP4/s_nUs_bAtmIslFgqphzKgBaoTCZQqo1SgCLcBGAsYHQ/s72-c/114dbd52-7517-400c-9e15-2e8bc2be44b0.jpg)
MAWAZIRI WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA KUKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Mg0Ol2MtVLE/XlyFw4U5t6I/AAAAAAALgP4/s_nUs_bAtmIslFgqphzKgBaoTCZQqo1SgCLcBGAsYHQ/s640/114dbd52-7517-400c-9e15-2e8bc2be44b0.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/c62ed2e8-d154-420d-ac0f-ec339d19f731.jpg)