Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha)
Ni usiku wa kuamkia January 1, 2016 ambapo mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva walikutana na kuenjoy muziki mzuri kutoka kwa msanii wa Nigeria, Tekno uliofanyika katika ukumbi wa King Solomon Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha za kutoka kwenye eneo hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]
The post Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7E_eOqPptrA/UxT4V934MfI/AAAAAAAFQ-o/F7H1JoXByiU/s72-c/unnamed+%252818%2529.jpg)
introducing kazi za msanii ashery mkama wa dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-7E_eOqPptrA/UxT4V934MfI/AAAAAAAFQ-o/F7H1JoXByiU/s1600/unnamed+%252818%2529.jpg)
10 years ago
Jamtz.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-aSY8AfjTSpk/VCGQvStxfVI/AAAAAAAABKs/a4-S1676ki4/s72-c/web.jpg)
HUYU NDO MSANII WA KIMATAIFA ATAKAEPIGA SHOW FIESTA YA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-aSY8AfjTSpk/VCGQvStxfVI/AAAAAAAABKs/a4-S1676ki4/s1600/web.jpg)
Wakati Tour ya Fiesta ikiwa inazunguka kwenye mikoa mbalimbali Tanzania ambapo weekend hii ni Mbeya na Songea, ametangazwa msanii wa kimataifa ambae ni rasmi atapanda kwenye stage ya Fiesta Dar es salaam October 2014 Leaders Club Kinondoni.
Rapper T.I ndio msanii wa kimataifa kwenye stage ya Fiesta October 18 2014 akiwa ni mkali ambae kwa sasa anamiliki chati za muziki kwa single yake ya No Mediocre
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1sns13TIZd0/U432nUlVFbI/AAAAAAAFnbA/Oh1MWYDO-CY/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Dk. Fenella Mukangara kuzindua Siku ya Msanii hoteli ya Sea Cliff, Dar es salaam
11 years ago
Habarileo22 Apr
Watu 4 wafa Dar es Salaam
WATU wanne wamekufa katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam, huku tukio la kwanza maiti ya mtoto mchanga akiokotwa akiwa ametupwa Mabibo External. Maiti ya mtoto mchanga mwenye jinsia ya kike akiwa na umri wa siku moja aliokotwa Aprili 20, mwaka huu akiwa amewekwa ndani ya kopo na kutupwa maeneo hayo.
11 years ago
Habarileo22 Jun
Daladala laua watu 6 Dar es Salaam
WATU sita wamekufa na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali, iliyohusisha magari manne kugongana. Yaligongana katika barabara ya Bagamoyo, eneo la njia panda ya Lugalo katika Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo03 May
Ajali zaua watu 4 Dar es Salaam
WATU wanne wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini Dar es Salaam, kutokana na ajali za barabarani, ikiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Ally Hamadi (13) kugongwa na gari akivuka barabara.
9 years ago
Bongo501 Dec
Msanii wa Nigeria Burna Boy aponda mfumo wa muziki wa Nigeria, adai umejaa siasa
![Burna-Boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Burna-Boy-300x194.jpg)
Muimbaji wa Dancehall kutoka Nigeria, Burna Boy ameponda mfumo wa muziki wa Nigeria na kudai kuwa umejaa siasa ndio sababu hapati tuzo nyingi anazostahili.
Akizungumza na jarida la Fader, Burna amesema kutokana na hayo anajiona kama yeye si sehemu ya muziki wa Nigeria kwasababu kuna baadhi ya watu walioutawala muziki huo wasiompenda.
“Kusema kweli ni siasa tupu, sijioni kama ni sehemu ya kiwanda cha muziki, angalia tuzo, sipati tuzo kwasababu wanaoutawala hawanipendi, mimi sio kama...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Watu nane wafa kwa mvua Dar es Salaam
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UgptLzqJqRA/VYQYFX0YfWI/AAAAAAABWew/qqI11PxwEDo/s72-c/eco%2B1.jpg)
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA 27 Ecobank Group jijini Dar es Salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-UgptLzqJqRA/VYQYFX0YfWI/AAAAAAABWew/qqI11PxwEDo/s640/eco%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O85yWT4jwLw/VYQXsRKYdeI/AAAAAAABWd8/HRCd2aV-bso/s640/ECO%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hopu_RxEmfA/VYQX4NG6wvI/AAAAAAABWeQ/n6QknOhFxQA/s640/ECO%2B5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vX89gZdCeEk/VYQX4rhXZnI/AAAAAAABWeY/JHt2BTnP9mM/s640/ECO%2B8.jpg)