HUYU NDO MSANII WA KIMATAIFA ATAKAEPIGA SHOW FIESTA YA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-aSY8AfjTSpk/VCGQvStxfVI/AAAAAAAABKs/a4-S1676ki4/s72-c/web.jpg)
Tweet
Wakati Tour ya Fiesta ikiwa inazunguka kwenye mikoa mbalimbali Tanzania ambapo weekend hii ni Mbeya na Songea, ametangazwa msanii wa kimataifa ambae ni rasmi atapanda kwenye stage ya Fiesta Dar es salaam October 2014 Leaders Club Kinondoni.
Rapper T.I ndio msanii wa kimataifa kwenye stage ya Fiesta October 18 2014 akiwa ni mkali ambae kwa sasa anamiliki chati za muziki kwa single yake ya No Mediocre
Jamtz.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Sep
T.I ndiye msanii wa kimataifa atakayetumbuiza kwenye Fiesta ya Dar
10 years ago
Jamtz.Com25 Oct
HUYU NDO MSANII WA BONGO FLEVA ALIEFARIKI JANA TAR 20.10.2014
![http://photos-a.ak.instagram.com/hphotos-ak-xaf1/10727233_709860805766368_1533290281_n.jpg](http://photos-a.ak.instagram.com/hphotos-ak-xaf1/10727233_709860805766368_1533290281_n.jpg)
“Tatizo alikuwa anaumwa kifua muda tu, lakini alishaanza kunywa dozi lakini majuzi akazidiwa na tukampeleka hospitali. Jana ndo mwenyezi Mungu kampenda zaidi akamchukua. Wazazi wa...
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Msanii wa Marekani T.I. kutumbuiza Serengeti Fiesta Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Ephraim Mafuru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafala ya kumtangaza msanii wa Marekani TI ambaye atashiriki tamasha la Fiesta litakalofanyika mwezi ujao jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki wa Kimarekani katika miondoka ya Hip-hop ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki, mwigizaji na mwekezaji, Clifford Joseph Harris Jr, alimaarufu kama T.I. amethibitishwa rasmi na kampuni ya Serengeti Breweries Ltd (SBL)kama...
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU UKUMBI WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gqsqXszZon4/U_2k2i5s1hI/AAAAAAAGCnk/Fr6OpZA0uG8/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
hivi ndivyo Mwana Dar es Salaam ilivyopagawisha Fiesta Tanga
![](http://3.bp.blogspot.com/-gqsqXszZon4/U_2k2i5s1hI/AAAAAAAGCnk/Fr6OpZA0uG8/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
Akiwa jukwaani, Alikiba alilazimika kuuruduia wimbo huo kwa zaidi ya maramoja kwani pindi alipoonyesha dalili ya kumaliza kuimba, mashabiki zake walipiga kelele kuomba arudie kwa mara nyingine.
Alikiba ameahidi makubwa zaidi jumamosi hii, Fiesta Moshi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BM5EwHP1K9w/U_2k5D5IeJI/AAAAAAAGCns/2O6HFfHPRV0/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RaRonoH5LgM/VWcJxUbAHLI/AAAAAAAAeC0/8kgaxppDV3Y/s72-c/1.jpg)
Huyu Ndo Zitto Kabwe Ninayemfahamu Ambaye CHADEMA Wameamua Kumpaka Matope
![](http://4.bp.blogspot.com/-RaRonoH5LgM/VWcJxUbAHLI/AAAAAAAAeC0/8kgaxppDV3Y/s640/1.jpg)
Sijawahi kuwa Mwanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo na sijafikiria kujiunga na chama hicho. Nilishawahi kuwa Mwanachama mtiifu wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema)
Nikiwa ndani ya CHADEMA nimewahi shiriki katika harakati nyingi zote zikiwa na lengo la kukikuza chama ambacho niliamini ndo mkombozi wa kweli wa mtanzania.Bahati mbaya sikuwa sahihi, nilikosea kukiamini chama hicho ambacho idadi kubwa ya viongozi wake ni ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rIH0WR7WlvY/VEJ3RwGPZGI/AAAAAAAGrdI/URaG4XbjidI/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7E_eOqPptrA/UxT4V934MfI/AAAAAAAFQ-o/F7H1JoXByiU/s72-c/unnamed+%252818%2529.jpg)
introducing kazi za msanii ashery mkama wa dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-7E_eOqPptrA/UxT4V934MfI/AAAAAAAFQ-o/F7H1JoXByiU/s1600/unnamed+%252818%2529.jpg)