Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 4 wafa Dar es Salaam

WATU wanne wamekufa katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam, huku tukio la kwanza maiti ya mtoto mchanga akiokotwa akiwa ametupwa Mabibo External. Maiti ya mtoto mchanga mwenye jinsia ya kike akiwa na umri wa siku moja aliokotwa Aprili 20, mwaka huu akiwa amewekwa ndani ya kopo na kutupwa maeneo hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu nane wafa kwa mvua Dar es Salaam

Watu nane wamekufa na mamia kukosa makazi kutokana na mvua kubwa zinazonyesha katika jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania.

 

11 years ago

Habarileo

Daladala laua watu 6 Dar es Salaam

WATU sita wamekufa na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali, iliyohusisha magari manne kugongana. Yaligongana katika barabara ya Bagamoyo, eneo la njia panda ya Lugalo katika Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zaua watu 4 Dar es Salaam

WATU wanne wamekufa katika matukio matatu tofauti jijini Dar es Salaam, kutokana na ajali za barabarani, ikiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Ally Hamadi (13) kugongwa na gari akivuka barabara.

 

9 years ago

MillardAyo

Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha)

Ni usiku wa kuamkia January 1, 2016 ambapo mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva walikutana  na kuenjoy muziki mzuri kutoka kwa msanii wa Nigeria, Tekno uliofanyika katika ukumbi wa King Solomon Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha za kutoka kwenye eneo hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]

The post Watu wa Dar es Salaam walivyouanza mwaka na msanii wa Nigeria..(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watu 20 wafa, 15 wajeruhiwa

WATU 20 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugonga lori lililokuwa limeegeshwa pembeni mwa barabara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 11 wafa ajalini

Watu 10 wamekufa papo hapo na mwingine kupoteza maisha alipokuwa akipelekwa hospitali baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupata ajali mkoani Simiyu.

 

11 years ago

Habarileo

Watu 20 wafa ajali ya Hiace

WATU 21 wamekufa na 10 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria aina ya Hiace na lori. Ajali hiyo ilitokea juzi katika kijiji cha Mkupuka kata ya Kibiti wilayani Rufiji mkoani Pwani.

 

11 years ago

Habarileo

Watu 6 wafa katika matukio tofauti

WATU sita wamekufa katika matukio tofauti, ikiwemo maiti ya mtoto mchanga wa kiume iliyookotwa ikiwa imewekwa katika mfuko wa nailoni na kutupwa maeneo ya Pugu Kajiungeni, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kilevi:Watu zaidi ya 50 wafa Msumbiji

Zaidi ya Watu 50 wapoteza maisha nchini Msumbiji baada ya kunywa kilevi kinachokisiwa kuwa na sumu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani