Watu 20 wafa, 15 wajeruhiwa
WATU 20 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugonga lori lililokuwa limeegeshwa pembeni mwa barabara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wawili wafa, wengine wajeruhiwa
WATU wawili wamefariki dunia akiwamo mtoto na wengine kujeruhiwa kwa mapanga katika matukio tofauti yaliyotokea katika Wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara. Akielezea matukio hayo jana, Kaimu Kamanda wa...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Wawili wafa, 40 wajeruhiwa ajali ya basi
WATU wawili akiwemo mtoto wa miezi sita wamekufa na wengine 40 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani, iliyolihusisha basi la Zuberi katika eneo la Tumaini Nkuhi kwenye barabara kuu ya Singida - Dodoma.
10 years ago
Habarileo13 Jun
Sita wafa katika ajali, 45 wajeruhiwa Singida
WATU sita wamekufa na wengine 45 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea juzi na jana mkoani Singida.
9 years ago
StarTV22 Nov
 Watu 22 wajeruhiwa Songea dereva atoroka Â
Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela amewataka wamiliki wa vyombo vya usafiri kuwa na kawaida ya kukagua Magari yao mara kwa mara ili kuweza kuepuka Ajali ambazo zinaweza kuepukika.
Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela ameyasema hayo baada ya Gari lenye Namba za Usajili T958 CUV Toyota Rosa kupata ajali eneo la Kigonsera na kusababisha watu 22 kujeruhiwa na wawili kuvunjika mikono
Amesema Jiografia ya Mkoa wa Ruvuma ina kona nyingi na milima hivyo Dereva anatakiwa...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Watu 11 wafariki ajali ya basi, 55 wajeruhiwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XN3OFHTPhZW0SIR2YLjYg8hcJmMxtkIZVdz-WGkrs57sj6DfZT7C7Le2AoY8iIpWOGHMicPPFfNI-NIAimhPwf/uchira.jpg?width=650)
WATU SITA WAJERUHIWA KATIKA AJALI KILIMANJARO
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Mvua ya mawe yaua watu 42 Kahama, 91 wajeruhiwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vLCoyq7-Qpo/XvSbcrbtcZI/AAAAAAALvYg/S_WP5175-V46U3DQhgxUKrSkSR5IET9TgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0026.jpg)
WATU WATATU WAPOTEZA MAISHA KARATU, 25 WAJERUHIWA
Na.Vero Ignatus
Wito umetolewa kwa medereva kuwa makini na kuchukua tahadhari ya usalama barabarani pindi wanapotumia vyombo vya moto ili kuepusha madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea,kwani jeshi la polisi litaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote ambao wataenda kinyume na taratibu za usalama barabarani
Akitoa taarifa ya ajali kwa waandishi wa habari Kaimu kamanda mkoa wa Arusha ACP.Ramadhani Kingai alisema ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 16:30hrs ,huko maeneo ya...
9 years ago
StarTV28 Sep
Watu watano wafariki, sita wajeruhiwa Katavi
Watu watano wamefariki na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyokea kijiji cha Matandalani wilaya ya Mlele mkoani Katavi baada ya gari aina ya NOAH lenye namba T 451 DDP ikitokea Mpanda mjini Kuelekea Sitalike kupinduka na kuacha njia.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Dhahiri Kidavashari amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa tano za asubuhi baada ya gari kupasuka tairi na kupinduka ambapo chanzo cha ajali ...