Kilevi:Watu zaidi ya 50 wafa Msumbiji
Zaidi ya Watu 50 wapoteza maisha nchini Msumbiji baada ya kunywa kilevi kinachokisiwa kuwa na sumu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV12 Jan
Watu zaidi ya 50 wafa kwa kunywa pombe Msumbiji.
Serikali nchini Msumbiji imetangaza siku tatu za maombolezo nchi nzima baada ya zaidi ya Watu 50 kupoteza maisha baada ya kunywa kilevi kinachoelezwa kuwa na sumu.
Watu hao walikunywa kilevi hicho wakiwa msibani.
Watu wengine kadhaa waliokunywa kinywaji hicho siku ya jumamosi walikimbizwa hospitalini.
bad credit installment loans in missouriMaafisa wanasema wanaamini kuwa kilevi hicho cha kienyeji kilichotengenezwa kwa mtama na mahindi kilikuwa na sumu ya nyongo ya mamba wakati...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Watu 20 wafa, 15 wajeruhiwa
WATU 20 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugonga lori lililokuwa limeegeshwa pembeni mwa barabara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino...
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Watu 11 wafa ajalini
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Zaidi 40 wafa kwa milipuko Nigeria
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
13 zaidi wafa maji korea kusini
11 years ago
Habarileo22 Apr
Watu 4 wafa Dar es Salaam
WATU wanne wamekufa katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam, huku tukio la kwanza maiti ya mtoto mchanga akiokotwa akiwa ametupwa Mabibo External. Maiti ya mtoto mchanga mwenye jinsia ya kike akiwa na umri wa siku moja aliokotwa Aprili 20, mwaka huu akiwa amewekwa ndani ya kopo na kutupwa maeneo hayo.
11 years ago
Habarileo31 Mar
Watu 20 wafa ajali ya Hiace
WATU 21 wamekufa na 10 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria aina ya Hiace na lori. Ajali hiyo ilitokea juzi katika kijiji cha Mkupuka kata ya Kibiti wilayani Rufiji mkoani Pwani.
11 years ago
Mwananchi17 May
Watu 10 wafa katika mlipuko wa bomu
11 years ago
Habarileo28 May
Watu watano wafa Ziwa Victoria
WATU watano wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria.