Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu watano wafa Ziwa Victoria

WATU watano wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watano wafa kwa imani za kishirikina

Watu watano wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na imani za kishirikina katika matukio mawili tofauti vijiji vya Ng’wande, wilayani Kaliua na Mtundu, Kata ya Bukoko, wilayani Igunga.

 

11 years ago

Mwananchi

Watano wafa ajalini Mlima wa Sekenke

Watu watano wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika eneo la Mlima Sekenke wilayani Iramba, Singida.

 

11 years ago

Dewji Blog

Watano wafa katika matukio tofauti Singida

DSC00179111

Kamanda wa polisi Mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.

 Na Mwandishi wetu, Singida

Watu watano wakiwemo watatu wa familia moja,wameuawa katika matukio tofauti,likiwemo la wanafamilia hao kukatwa katwa kwa mapanga sehemu mbalimbali za miiili yao na watu wasiofahamika.

Tukio hilo la mauaji lililowahusisha wanandoa hao lilitokea siku tano baada ya kuuawa kikatili kwa wanandoa wengine wawili,Bwana Ramadhan Lyanga (80) na Bi Aziza Ali (62) wakazi wa wilayani Iramba.

Akielezea matukio hayo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchafuzi wa mazingira waathiri Ziwa Victoria

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka tani 750,000 hadi kufikia wastani wa tani 180,000. Hii inatokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira. Uchafuzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Meli FB Matara iliyozama Ziwa Victoria yaibuliwa

Meli ya FB Matara iliyozama Aprili 17 mwaka huu kwenye Ziwa Victoria imeibuliwa na imehifadhiwa Kisiwa cha Karumo, wilayani Sengerema mkoani hapa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ziwa Victoria hatari kwa wasichana Tanzania

Wasichana waliopo kando kando ya visiwa vya ziwa Victoria mkoani Mwanza nchini Tanzania wapo katika hatari ya kuambikizwa HIV

 

10 years ago

Michuzi

TASAF YAPIGA HODI KANDA YA ZIWA VICTORIA.

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza  hatua ya kutambua kaya maskini katika mikoa ya Mwanza,Shinyanga,Tanga, Morogoro,Pwani na Simiyu ikiwa ni utekelezaji wa Mpango wa kunusuru kaya maskini PSSN unaoratibiwa na mfuko huo nchini kote kwa awamu. Akifungua warsha ya kuwajengea uelewa viongozi wa wilaya ya Maswa ,Mkuu wa wilaya hiyo Luteni Mstaafu Abdallah Kihato ametoa wito kwa wananchi kuzingatia miongozo ya TASAF ili waweze kunufaika na mpango huo. 
Amesema serikali wilayani humo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boti la abiria lazama ziwa Victoria Kenya

Boti moja iliyokuwa imebeba abiria 23 imegongana na mtumbwi wa wavuvi na kuzama katika ziwa Victoria Magharibi mwa Kenya

 

10 years ago

Mwananchi

Jk utatekeleza lini ahadi ya meli Ziwa Victoria

Wiki moja iliyopita abiria 381 waliokuwa katika meli ya Mv Victoria walinusurika kufa baada ya chombo hicho kilichokuwa kikifanya safari kutoka Bukoba kwenda Mwanza kuzimika ghafla.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani