Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ziwa Victoria hatari kwa wasichana Tanzania

Wasichana waliopo kando kando ya visiwa vya ziwa Victoria mkoani Mwanza nchini Tanzania wapo katika hatari ya kuambikizwa HIV

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Magugu maji yasababisha kukwama kwa safari za majini ziwa victoria

Mimea ya magugu maji aina ya matende imetanda katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza kiasi cha kutatiza shughuli za usafiri na usafirishaji katika kivuko hicho ambacho ni kiungo muhimu cha usafiri kati ya mikoa ya Kanda ya Ziwa pamoja na nchi jirani.

Kutanda kwa mimea hiyo katika eneo lenye ukubwa wa takribani hekari 4 kulisababisha vivuko vya Mv Misungwi na Mv Sengerema kushindwa kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji kwa takriban siku tatu mfululizo baada ya kukosa eneo...

 

11 years ago

Habarileo

Watu watano wafa Ziwa Victoria

WATU watano wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchafuzi wa mazingira waathiri Ziwa Victoria

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka tani 750,000 hadi kufikia wastani wa tani 180,000. Hii inatokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira. Uchafuzi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Jk utatekeleza lini ahadi ya meli Ziwa Victoria

Wiki moja iliyopita abiria 381 waliokuwa katika meli ya Mv Victoria walinusurika kufa baada ya chombo hicho kilichokuwa kikifanya safari kutoka Bukoba kwenda Mwanza kuzimika ghafla.

 

11 years ago

Mwananchi

Meli FB Matara iliyozama Ziwa Victoria yaibuliwa

Meli ya FB Matara iliyozama Aprili 17 mwaka huu kwenye Ziwa Victoria imeibuliwa na imehifadhiwa Kisiwa cha Karumo, wilayani Sengerema mkoani hapa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boti la abiria lazama ziwa Victoria Kenya

Boti moja iliyokuwa imebeba abiria 23 imegongana na mtumbwi wa wavuvi na kuzama katika ziwa Victoria Magharibi mwa Kenya

 

10 years ago

Michuzi

TASAF YAPIGA HODI KANDA YA ZIWA VICTORIA.

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza  hatua ya kutambua kaya maskini katika mikoa ya Mwanza,Shinyanga,Tanga, Morogoro,Pwani na Simiyu ikiwa ni utekelezaji wa Mpango wa kunusuru kaya maskini PSSN unaoratibiwa na mfuko huo nchini kote kwa awamu. Akifungua warsha ya kuwajengea uelewa viongozi wa wilaya ya Maswa ,Mkuu wa wilaya hiyo Luteni Mstaafu Abdallah Kihato ametoa wito kwa wananchi kuzingatia miongozo ya TASAF ili waweze kunufaika na mpango huo. 
Amesema serikali wilayani humo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usanifu mradi wa maji Ziwa Victoria wakamilika

SERIKALI inaendelea kutafuta fedha za utekelezaji wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria hadi Tabora baada ya usanifu wa kina kukamilika. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, alieleza hayo bungeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani