Watu nane wafa kwa mvua Dar es Salaam
Watu nane wamekufa na mamia kukosa makazi kutokana na mvua kubwa zinazonyesha katika jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Apr
Watu 4 wafa Dar es Salaam
WATU wanne wamekufa katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam, huku tukio la kwanza maiti ya mtoto mchanga akiokotwa akiwa ametupwa Mabibo External. Maiti ya mtoto mchanga mwenye jinsia ya kike akiwa na umri wa siku moja aliokotwa Aprili 20, mwaka huu akiwa amewekwa ndani ya kopo na kutupwa maeneo hayo.
10 years ago
GPL08 May
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s72-c/1.jpg)
NEWZ ALERT:WATU NANE WAKAMATWA KWA TUKIO LA VIUNGO VYA BINADAMU JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s1600/1.jpg)
Kamanda Kova amesema kuwa jopo la Wataalamu saba limeundwa kuchunguza tukio hilo na amethibitisha kuwa viungo vile vilikuwa ni vya maiti,ambavyo hutumika na...
9 years ago
StarTV16 Nov
Ujenzi waendelea kwa kasi mabondeni Dar es Salaam licha ya athari za mvua
Shughuli za kuendeleza maeneo ya Mabondeni jijini Dar es Salaam zinachukua kasi kubwa licha ya Serikali kutoa tahadhari na kuwataka wakazi wa maeneo hayo kuhama.
Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na uelewa mdogo wa jamii juu ya madhara yanayotokea pindi mvua nyingi zinaponyesha na kusababisha maafa kwa jamii iishiyo maeneo hayo.
Katika hali ya kushangaza maeneo haya ya mabondeni ambayo Serikali imekuwa ikizuia watu kuishi, kutokana na kuwa hatarishi kwa maisha, wakati mvua za masika...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/SAB5jQvPgtE/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Watu 25 wafa kwa kunywa gongo India
11 years ago
BBCSwahili03 May
Watu 30 wafa kwa moto vitani Ukraine
10 years ago
BBCSwahili25 Aug
DRC: Watu wawili wafa kwa Ebola
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KNRvVFlE1xg/U0lQ0tmYMCI/AAAAAAAFaPg/cS5KOo-1g8k/s72-c/aa06060b21af67159fa607bd5b95a565.jpg)