Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA ZA MAHAFALI SAUT‏

Chrispine Mwashambwa na Mkewe Huruma Malema, wakiwa na nyuso za furaha muda mfupi baada ya kuhitimu masomo yao.Mwashambwa ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi Mbeya,amehitimu Digrii (Masters ) yake ya Sheria, wakati mkewe amehitimu Shahada ya Ualimu katika chuo kikuu cha SAUT Juzi.
Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi wilaya ya Mbeya,Chrispine Mwashambwana Mkewe Huruma Malema wakikata utepe muda mfupi wa kutihimu Digrii (Masters)...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Profesa Mwandosya mgeni rasmi katika Mahafali ya 16 ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT),Mwanza

 Waziri wa Nchi(Kazi Maalum) Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya,Rev Dr Thadeus Mkwama,Makamu Mkuu wa SAUT,na Mwadhama Baba Askofu Desderius Rwoma,Mkuu wa Chuo,wakiwa kwenye maandamano ya ya taaluma, ya Maprofesa.  Maandamano yakiendelea Profesa Mwandosya,Rev Dr Thadeus Mkwama,Makamu Mkuu wa SAUT,na Mwadhama Baba Askofu Desderius Rwoma,Mkuu wa Chuo,wakiwa kwenye maandamano ya ya taaluma, ya Maprofesa.  Waziri Mwandosya akisalimiana na wakufunzi wa SAUT. Picha ya pamoja ya Prof. Mwandosya na...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZAIDI ZA MAHAFALI YA MRS. MATRIDA MKAMA

Matrida Mkama mara tu baada ya kukamata nondo yake . Dr, Sweetbert Mkama naye hakua nyuma kumpa ushirikiano wa hali na mali mama watoto wake.Dr sweetbert Mkama akiwa na Matrida Mkama pamoja na mwambata wa jeshi wa ubalozi wa Tanzania Col. Adolph Mutta.
Saa matata aliyopewa zawadi Dr Sweetbert Mkama kutoka kwa mama mwenye Nyumba wake kama ishara ya shukrani zake kwa ushirikiano alioupata kutoka kwa baba mwenye nyumba wake.




 
 
 
 

 

9 years ago

Vijimambo

HABARI PICHA MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA ST.MARYS MBEYA

Wanafunzi wa shule ya Kimataifa ya St.Marrys Forest jijini Mbeya wakitoa burudani katika mahafali ya Darasa la saba katika shule hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mbeya .Picha Jamiimojablog Wahitimu wa Elimu ya Msingi katika shule ya Kimataifa ya St.Marrys Forest Jijini Mbeya Wazazi na walezi Uongozi wa shule ukitoa zawadi kwa wanafunzi walifanya vizuri katika masomo yao kwa upande wa wanafunzi wote kwa ujumla waliobaki shuleni hapo. Wahitimu waliofanya vizuri katika masomo yao...

 

11 years ago

GPL

MAHAFALI YA SHULE YA AWALI YA OJAYS KIDDIES ZONE YAFANA‏

Watoto wa shule ya Ojays Kiddies Zone iliyopo maeneo ya Kinondoni Block 41, wakiwa kwenye chumba cha mapumziko kabla ya kuanza kwa mahafali ya Kaka na Dada zao wa Laura Class kuanzia miaka 4-5 (T-shrits za kijani) yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Regency Park jijini Dar mwishoni mwa juma. Mkurugenzi wa Shule ya awali ya Ojays Kiddies Zone iliyopo Kinondoni -Block 41, Bi.… ...

 

10 years ago

GPL

MAHAFALI YA 12 YA CHUO CHA UHASIBU TANZANIA (TIA) YAFANA, JIJINI DAR ES SALAAM‏

Kikosi cha band cha Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.
 Wahadhiri wa Taasisi hiyo pamoja na mgeni rasmi wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.…

 

10 years ago

Daily News

4 former SAUT students win appeal over expulsion


4 former SAUT students win appeal over expulsion
Daily News
THE Court of Appeal has quashed a High Court ruling against four former students at Saint Augustine University of Tanzania (SAUT), who were protesting their expulsion from the Mwanza-based higher learning institution. The four students, Godwin Biswalo, ...

 

11 years ago

TheCitizen

Saut pays last respects to fallen lecturer

Tens of hundreds of students, lecturers, friends and other people yesterday paid their last respects to veteran journalist Nkwabi Ng’wanakilala who died last Friday at Bugando Medical Centre after a short illness.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Four Former SAUT Students Win Appeal Over Expulsion


Four Former SAUT Students Win Appeal Over Expulsion
AllAfrica.com
THE Court of Appeal has quashed a High Court ruling against four former students at Saint Augustine University of Tanzania (SAUT), who were protesting their expulsion from the Mwanza-based higher learning institution. The four students, Godwin Biswalo, ...

 

11 years ago

GPL

BALOZI LIBERATA MULAMULA AHUDHURIA ONYESHO LA PICHA ZA KUCHORA LA JAMBO, TANZANIA‏

Mariam Osher Mmarekani mchoraji aliyetembelea mbuga za wanyama Tanzania na kubuni uchoraji wa wanyama aliowaona huko Tanzania na kutumia michoro hiyo kuitangaza Tanzania kwa Wamarekani na raia wengine ambao wajawahi kufika Tanzania kwenye maonesho ya picha zake yaliyofanyika leo Silver Spring, Maryland kwenye ukumbi wa WPG uliopo 8230 Georgia Ave. Mhe. Liberata Mulamula, Balozi wa Tanzania nchini Marekani (wa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani